Watch @joh_makini "Nusu Nusu" Video HAPA powered by www.selengakaduma.blogspot.com, @weusikampuni @vmgafrica @j4cinyo @djhaazu @fredyze1 #supportyourown starring @nahreel @juma_jux dir by #justincampos @gorilla_films, #setdesign by @icandicam, video produced by @cashtime_siya ...
Pigia Kura Video ya "XO" by @joh_makini ft @gnakowarawara katika "Tuzo za Watu 2015" kuwania Tuzo ya Video Bora Inayopendwa na Watu kwa kuandika "TZW13E" kwenda "15678" au kupitia Tovuti ya www.tuzozawatu.com powered by tuzozawatu @vmgafrica @noizmekah #vmgafrica @weusikampuni @j4cinyo @fredyze1...
Falenzy ni msanii wa Gospel Kenya ambaye kwa sasa amepata nomination Tatu katika Groove Awards ambapo wasanii ambao wamebobea Katika Gospel Music hutuzwa Kila mwaka nchini Kenya.
Msanii huyu amepata nomination Tatu zikiwa Hip Hop song of the year, Collaboration song of the Year and New Artist...
KUTANA NA MZIGO MPYA YA MWANAMZIKI MCHANGA TOKA IRINGA AITWAE G ROCKER AKIWA KAMSHIRIKISHA MKWAWA. TRACK INAITWA DANGER
Ngoma imefanyika KB records iringa....
STDz stands for Street Delegates.TUMSIME and MSHUMBU are the members.Born in ARUSHA a.k.a CHUGA,Raised at SANAWARI crazy about Street Hip Hop. Bofya https://mkito.com/artist-profile/stdz/599 Kutembelea Profile na kupakua nyimbo zote za STD'z
https://mkito.com/song/mida-inayeyuka/13421
https://mkito.com/song/hizi-mitaa/4501
https://mkito.com/song/pressure-remix-ft-lordizzy-stoparhymes-chindo-ladynaike-fidovato-lavosti-son/2231
https://mkito.com/song/pressure/2234
kwa...
Orodha ya washindi wa tuzo za KVOOS 2015
Wasanii chipukizi wa muziki wa bongo flava nchini, Mac Mc na Fire Star wamefanikiwa kutwaa tuzo za KVOOS Multimedia Awards zilizotolewa mwishoni mwa wiki iliyopita Msasani jijini Dar es Salaam.
Wasanii hao wametwaa tuzo hizo huku fire star akitwaa...
NAFUNGA ZIPU ndio jina la wimbo mpya wa Soggy Doggy akiwashirikisha Baghdad na G-Nako uliotengenezwa na Mr.T Touchez wa Free Nation Sound
Pakua hapa ...
Artist= Trubadour george ft Mr Blue
Song= Mara Moja Kwa Mwaka
Produced by Ray Tecknohama
MUZIKI MPYA>> TRUBADOUR( Trubadour George) featuring Mr BLUE, #MARA_MOJA_KWA_MWAKA Produced By Ray Tek No Hama ...
The newest #DeejayBrand In Arusha @djp_tz & @djnoel255 under @batooentertainment @man_batoo @noizmekah ibuka kwenye #JamSession Every Sunday saa nane mchana hadi usiku Pale Milestone Club Sakina powered by @vmgafrica www.vmgafrica.com @mkitodotcom @defxtro #vmgafrica #SupportYourOw...
kupakua wimbo wa Enemwes kwa jina "Tabasam" ikiwa ni Bongofleva Category toka @Noizmekah Studios chini ya @defxtro kwa mawasiliano zaidi check na ENEMWES kwa nambari +255 752 284 356 powered by @vmgafrica @noizmekah #vmgafrica @mkitodotcom www.vmgafrica.com @defxtro #SupportYourOwn
-...
Singer Name:- Real Jofu ft Ney Lee
Song Name:- Kumbe Ni Ndugu
Country;- Tanzania
Genre;- Bongo Flavour
Studio:- Mazuu Records
Hi,
I hope you're doing well.
This is brand new song from Mazuu Recordz by
Artist -Real Jofu Feat Ney Lee
track _ Kumbe ni Ndugu
We thanks for promoting us everyday..
God...
Julio Batalia aja na Mkito Mpya uliotengenezwa na Dj Maphorisa pamoja na Uhuru kutoka Afrika Kusini - Tetemesha!
Link > https://mkito.com/song/tetemesha/1395...
Baada ya single yake ya kwanza NAIYE, Msanii Wiista kutoka NGOMA Entertainment aachia single yake ya Pili iitwayo Once Chance ambayo ni sehemu ya Album yake itakayotoka katikati ya mwaka huu. ...
Mo Music ni mmoja wa wasanii wachahe chipukizi aliyefanikiwa kufika kwenye Top 5 ya Mkito ndani ya masaa 7!
Sikiliza wimbo mpya kutoka kwa Mo Music - #Nitazoea hapa > https://mkito.com/song/nitazoea/13
...
Jina langu naitwa noel chipa, ama chipamagneto kamainavyojulikana kwa wengi ndilo jina nalotumia kwa wengi na ndilo jina nalotumia katika shughuli za kimuziki nilizaliwa January 01/1991 Ruvuma songeandipo nilipohitimu elimu ya msingi na sekondari baada ya kumaliza elimu ya sekondari 2008 nikajiunga...
Singer Name:- Pnc
Song Name:- Yule Yule
Country;- Tanzania
Genre;- Bongo Flavour
Director:- Saimako
Hi,
I hope you're doing well.
This is brand new Video from The Big Apple by
Artist -Pnc
track _ Yule Yule
We thanks for promoting us everyday..
God bless you...
Follow me>...
Pamoja na kuwa wimbo mpya wa Diamond ulishfikia wengi kwenye mitandao inabidi kukubali kazi ya huyu kijana na kusikiliza Original Master Copy ya wimbo NASEMA NAWE aliyomshirikisha Khadija Kopa. Wimbo unapatikana rasmi kupitia hapa.
Pia furahia lyrics tamu kutoka kwa Diamond na Khadija Kopa.
VERSE...
ARTIST- RAY- TEKNOHAMA FT NIKKI MBISHI, DIZASTA, GHETTO AMBASSODOR,BIGGIE BOSS,ONE THE INCREDIBLE,P THE MCEE,CLINT FIERCE,TRUBADOUR,PHILLY TECHNICS,SIX O'CLOCK,STEREO,SONGA,ZAIID
SONG- THE GAME
MOTO REC/TAMADUNI MUZIK
...
kupakua wimbo wa "Blood Power" wakimshirikisha Mwanadada "HD" katika wimbo kwa jina "Goma" ikiwa ni BongoFleva Category,kwa Mawasilano/Mahojiano zaidi check na BLOOD POWER Kwa +255 764 965 568 au +255 768 490 592 powered by @vmgafrica #SupportYourOwn @defxtro
--...
kupakua wimbo wa "Mbigiri Squad" wakiwakilisha Karatu katika Game la Bongo,Ngoma inaenda kwa jina "Inakuwa Nini" ikiwa ni hiphop category toka @noizmekah, kwa mawasilano/mahojiano zaidi +255 655 531 090 & +255 766 155 428 powered by www.selengakaduma.blogspot.com, @vmgafrica @defxtro www.vmgafrica.com...
ZIKIWA ZIMEBAKI SIKU CHACHE SAANA KUACHIWA MZIGO MPYA TOKA KWA MWANAMUZIKI DOGO SCOPE AKA FRESH ANDY, TOKA MAFINGA IRINGA, LEO AMEWEZA ZUNGUMZIA YALIJIRI JUU YAUJIO WA NYIMBO YAKE HIO ITAKAYOKWENDA KWAJINA LA EMBE DODO. SIKILIZA KWAKUBOFYA HAPA CHINI....
Kaa La Moto ni msanii chipukizi wa hip hop Kutoka Kenya Coast ambaye pia ni host wa TV show (Pwani TV).
Ameshawahi kushirikiana na wasanii kama vile One Incredible Kutoka Tanzania na Pia Nyota Ndogo....
MSANII CHIPUKIZI WA HIP HOP JITI TARAA BAADA YA KUTAMBA NA NGOMA YAKE YA WANGAPI SASA AMEKUJA NA NGOMA MPYA INAYOKWENDA KWA JINA LA BONGO SUPERSTAR ALIYOMSHIRIKISHA MWANADADA AYLER ALIYEWAHI KUTAMBA NA NGOMA YA MSAMAHA PIA YUPO ICON JAZZ KWENYE HIYO NGOMA IMEFANYIKA DM RECORDS CHINI YA MTAYARISHAJI...
Wakazi drops the long awaited mixtape "Live From Stakishari".
Link: https://mkito.com/search/?name=live+from+stakishari
This is the 5th mixtape since he started droping them and from the release of the earlier tracks like, "Dengue Fever", "One Day Yes", "Usinshike Mkono" and "Kwa Mtogole".
Wakazi...
Millard Afrael Ayo alizaliwa Arusha January 26 akiwa ni mtoto wa kwanza kwenye famili ya watoto wanne ya Afrael Ayo ambae ni mmeru wa Akheri Tengeru, ni mfanyabiashara na mama Mary Ayo ni mwalimu.
Baada ya mama yake mzazi kuona uharaka wa uelewa wa Millard, alimuanzisha shule akiwa mdogo sana...
MWANAMUZIKI FRESH ANDY AKA DOGO SCOPE TOKA MAFINGA, ANATARAJI KUJA NA WIMBO MPYA HIVI PUNDE BAADA YA UKIMYA WA MUDA MREFU TANGU CHAUSIKU. WIMBO HUO ULOFANYIKA CHINI YA STUDIO ZA CHRIS RECORDS - PRODUCER KENNY, UNATARAJI INGIZWA RASMI MTAANI TAREHE 13/04 MWAKAHUU. MWANAMUZIKI HUYO AMESEMA TRAKI HIO...
Kupakua wimbo wa Nezo B ft STD'z kwa jina "Keep It Low", Kwa mawasilano/mahojiano zaidi check na NEZO B kwa nambari +255 756 940 327 powered by www.vmgafrica.com @defxtro @noizmekah #SupportYourOwn
--...