KITAA SHOP |Bofya Picha Kutembelea Kitaa Shop

Thursday, April 30, 2015

JOHN MAKIN - NUSU NUSU ( New Video ) + PHOTOS FROM LOCATION.

Watch @joh_makini "Nusu Nusu" Video HAPA powered by www.selengakaduma.blogspot.com, @weusikampuni @vmgafrica @j4cinyo @djhaazu @fredyze1 #supportyourown starring @nahreel @juma_jux dir by #justincampos @gorilla_films, #setdesign by @icandicam, video produced by @cashtime_siya ...

NEWS: Pigia Kura "XO" Video ya Joh Makini TZW13E

Pigia Kura Video ya "XO" by @joh_makini ft @gnakowarawara katika "Tuzo za Watu 2015" kuwania Tuzo ya Video Bora Inayopendwa na Watu kwa kuandika "TZW13E" kwenda "15678" au kupitia Tovuti ya www.tuzozawatu.com powered by tuzozawatu @vmgafrica @noizmekah #vmgafrica @weusikampuni @j4cinyo @fredyze1...

FALENZY _ OPPORTUNITY ( New Audio )

Falenzy ni msanii wa Gospel Kenya ambaye kwa sasa amepata nomination Tatu katika Groove Awards ambapo wasanii ambao wamebobea Katika Gospel Music hutuzwa Kila mwaka nchini Kenya. Msanii huyu amepata nomination Tatu zikiwa Hip Hop song of the year, Collaboration song of the Year and New Artist...

NEWS: Wafahamu Zaidi STDZ

STDz stands for Street Delegates.TUMSIME and MSHUMBU are the members.Born in ARUSHA a.k.a CHUGA,Raised at SANAWARI crazy about Street Hip Hop. Bofya https://mkito.com/artist-profile/stdz/599 Kutembelea Profile na kupakua nyimbo zote za STD'z https://mkito.com/song/mida-inayeyuka/13421 https://mkito.com/song/hizi-mitaa/4501 https://mkito.com/song/pressure-remix-ft-lordizzy-stoparhymes-chindo-ladynaike-fidovato-lavosti-son/2231 https://mkito.com/song/pressure/2234 kwa...

NEWS: Fire Star, Mac Mc watwaa tuzo KVOOS Multimedia 2015

Orodha ya washindi wa tuzo za KVOOS 2015 Wasanii chipukizi wa muziki wa bongo flava nchini, Mac Mc na Fire Star wamefanikiwa kutwaa tuzo za KVOOS Multimedia Awards zilizotolewa mwishoni mwa wiki iliyopita Msasani jijini Dar es Salaam. Wasanii hao wametwaa tuzo hizo huku fire star akitwaa...

Friday, April 24, 2015

NEWS: Ujio wa #ShuttUpDeejayz Arusha

The newest #DeejayBrand In Arusha @djp_tz & @djnoel255 under @batooentertainment @man_batoo @noizmekah ibuka kwenye #JamSession Every Sunday saa nane mchana hadi usiku Pale Milestone Club Sakina powered by @vmgafrica www.vmgafrica.com @mkitodotcom @defxtro #vmgafrica #SupportYourOw...

ENEMWES - TABASAM ( New Audio )

kupakua wimbo wa Enemwes kwa jina "Tabasam" ikiwa ni Bongofleva Category toka @Noizmekah Studios chini ya @defxtro kwa mawasiliano zaidi check na ENEMWES kwa nambari +255 752 284 356 powered by @vmgafrica @noizmekah #vmgafrica @mkitodotcom www.vmgafrica.com @defxtro #SupportYourOwn -...

REAL JOFU FT NEY LEE - KUMBE NI NDUGU ( New Audio )

Singer Name:- Real Jofu ft Ney Lee Song Name:- Kumbe Ni Ndugu Country;- Tanzania Genre;- Bongo Flavour Studio:- Mazuu Records Hi, I hope you're doing well. This is brand new song from Mazuu Recordz by Artist -Real Jofu Feat Ney Lee track _ Kumbe ni Ndugu We thanks for promoting us everyday.. God...

Thursday, April 23, 2015

Wednesday, April 22, 2015

Tuesday, April 21, 2015

Monday, April 13, 2015

BIOGRAPHY YAWIKIHII: MJUE MWANDAAJI WA MUZIKI NOEL CHIPA ( CHIPA MAGNETO ) KATIKA MUZIKI.

Jina langu naitwa noel chipa, ama chipamagneto kamainavyojulikana kwa wengi ndilo jina nalotumia kwa wengi na ndilo jina nalotumia katika shughuli za kimuziki nilizaliwa January 01/1991 Ruvuma songeandipo nilipohitimu elimu ya msingi na sekondari baada ya kumaliza elimu ya sekondari 2008 nikajiunga...

PNC - YULE YULE ( New Video )

Singer Name:- Pnc Song Name:- Yule Yule Country;- Tanzania Genre;- Bongo Flavour Director:- Saimako Hi, I hope you're doing well. This is brand new Video from The Big Apple by Artist -Pnc track _ Yule Yule We thanks for promoting us everyday.. God bless you... Follow me>...

DIAMOND FT KHADIJA KOPA - NASEMA ( Audio + Rylics )

Pamoja na kuwa wimbo mpya wa Diamond ulishfikia wengi kwenye mitandao inabidi kukubali kazi ya huyu kijana na kusikiliza Original Master Copy ya wimbo NASEMA NAWE aliyomshirikisha Khadija Kopa. Wimbo unapatikana rasmi kupitia hapa. Pia furahia lyrics tamu kutoka kwa Diamond na Khadija Kopa. VERSE...

RAY TEKNOHAMA FT NIKKI MBISHI, DIZASTA, GHETTO AMBASSODOR,BIGGIE BOSS,ONE THE INCREDIBLE,P THE MCEE,CLINT FIERCE,TRUBADOUR,PHILLY TECHNICS,SIX O'CLOCK,STEREO,SONGA,ZAIID SONG- THE GAME ( New Audio )

ARTIST- RAY- TEKNOHAMA FT NIKKI MBISHI, DIZASTA, GHETTO AMBASSODOR,BIGGIE BOSS,ONE THE INCREDIBLE,P THE MCEE,CLINT FIERCE,TRUBADOUR,PHILLY TECHNICS,SIX O'CLOCK,STEREO,SONGA,ZAIID SONG- THE GAME MOTO REC/TAMADUNI MUZIK ...

BLOOD POWER FT HD - GOMA ( New Audio )

kupakua wimbo wa "Blood Power" wakimshirikisha Mwanadada "HD" katika wimbo kwa jina "Goma" ikiwa ni BongoFleva Category,kwa Mawasilano/Mahojiano zaidi check na BLOOD POWER Kwa +255 764 965 568 au +255 768 490 592 powered by @vmgafrica #SupportYourOwn @defxtro --...

MBIGIRI SQUAD - INAKUA NINI? ( New Audio )

kupakua wimbo wa "Mbigiri Squad" wakiwakilisha Karatu katika Game la Bongo,Ngoma inaenda kwa jina "Inakuwa Nini" ikiwa ni hiphop category toka @noizmekah, kwa mawasilano/mahojiano zaidi +255 655 531 090 & +255 766 155 428 powered by www.selengakaduma.blogspot.com, @vmgafrica @defxtro www.vmgafrica.com...

Thursday, April 9, 2015

COMING SOON: TUMIA DAKIKA 2 KUMSIKILIZA DOGO SCOPE AKIZUNGUMZIA UJIO WA TRACK YAKE MPYA

ZIKIWA ZIMEBAKI SIKU CHACHE SAANA KUACHIWA MZIGO MPYA TOKA KWA MWANAMUZIKI DOGO SCOPE AKA FRESH ANDY, TOKA MAFINGA IRINGA, LEO AMEWEZA ZUNGUMZIA YALIJIRI JUU YAUJIO WA NYIMBO YAKE HIO ITAKAYOKWENDA KWAJINA LA EMBE DODO. SIKILIZA KWAKUBOFYA HAPA CHINI....

JITI TARAA -FT AYLER & LEAN JAZZ - BONGO SUPERSTAR ( New Audio )

MSANII CHIPUKIZI WA HIP HOP JITI TARAA BAADA YA KUTAMBA NA NGOMA YAKE YA WANGAPI SASA AMEKUJA NA NGOMA MPYA INAYOKWENDA KWA JINA LA BONGO SUPERSTAR ALIYOMSHIRIKISHA MWANADADA AYLER ALIYEWAHI KUTAMBA NA NGOMA YA MSAMAHA PIA YUPO ICON JAZZ KWENYE HIYO NGOMA IMEFANYIKA DM RECORDS CHINI YA MTAYARISHAJI...

DOWNLOAD MIXTAPE YA WAKAZI HAPA Live From Stakishari. ( New Audio Mixtape )

Wakazi drops the long awaited mixtape "Live From Stakishari". Link: https://mkito.com/search/?name=live+from+stakishari This is the 5th mixtape since he started droping them and from the release of the earlier tracks like, "Dengue Fever", "One Day Yes", "Usinshike Mkono" and "Kwa Mtogole". Wakazi...

Monday, April 6, 2015

BIOGRAPHY YAWIKIHII: MJUE MTANGAZAJI BORA NA MAARUFU ZAIDI NCHINI ALIKOTOKA NAALIPO KWASASA - MILLARD AFRAEL AYO.

Millard Afrael Ayo alizaliwa Arusha January 26 akiwa ni mtoto wa kwanza kwenye famili ya watoto wanne ya Afrael Ayo ambae ni mmeru wa Akheri Tengeru, ni mfanyabiashara na mama Mary Ayo ni mwalimu. Baada ya mama yake mzazi kuona uharaka wa uelewa wa Millard, alimuanzisha shule akiwa mdogo sana...

COMING SOON YA LEO: FRESH ANDY AKA DOGO SCOPE KUJA NA EMBEDODO BAADA YA CHAUSIKU.

MWANAMUZIKI FRESH ANDY AKA DOGO SCOPE TOKA MAFINGA, ANATARAJI KUJA NA WIMBO MPYA HIVI PUNDE BAADA YA UKIMYA WA MUDA MREFU TANGU CHAUSIKU. WIMBO HUO ULOFANYIKA CHINI YA STUDIO ZA CHRIS RECORDS - PRODUCER KENNY, UNATARAJI INGIZWA RASMI MTAANI TAREHE 13/04 MWAKAHUU. MWANAMUZIKI HUYO AMESEMA TRAKI HIO...

Saturday, April 4, 2015

Thursday, April 2, 2015