KITAA SHOP |Bofya Picha Kutembelea Kitaa Shop

Sunday, January 5, 2014

MIKE TEE aka MNYALU KUJA NA MIKAKATI MIPYA YA KIMUZIKI 2014.

Baada ya Kimya kingi Mwana Mziki Mkongwe Wa Gem la Kusini Mike Tee, aka Mnyalu, Afunguka na Mkakati wake mpya wa Kimuziki, Hii ni baada ya kuachi nyimbo yake Mpya ujulikanao kama Uliniona Sina Maana,  alofanya na JumaNature aka Kiroboto, ambayo Imeleta Taswira Kubwa saana Na mpya katika Maskio...

HERI YA KRISMAS NA MWAKAMPYA/ PIA KUTIMIZA MWAKA 01 WA MTANDAO HUU KUWA HEWANI.

BLOG YENU YENU YA KIJANJA IMETIMIZA MWAKA MMOJA SASA RASMI TANGU ILIPO ACHIWA HEWANI, TAR 02/01/2013. SHUKRANI ZA DHATI ZIWAFIKIE  Tenya Brown, (blog launch designer and editor)  Emmo da Pro, ( blog advisor) Lusimiko Unyax Kaduma (Blog founder), Dogo Scopy (Blog advisor), James Mtalemwa...