KITAA SHOP |Bofya Picha Kutembelea Kitaa Shop

Sunday, January 5, 2014

MIKE TEE aka MNYALU KUJA NA MIKAKATI MIPYA YA KIMUZIKI 2014.

Baada ya Kimya kingi Mwana Mziki Mkongwe Wa Gem la Kusini Mike Tee, aka Mnyalu, Afunguka na Mkakati wake mpya wa Kimuziki, Hii ni baada ya kuachi nyimbo yake Mpya ujulikanao kama Uliniona Sina Maana,  alofanya na JumaNature aka Kiroboto, ambayo Imeleta Taswira Kubwa saana Na mpya katika Maskio ya walio wengi na kufanya vizuri katika media mbali mbali. Mwanamziki Huyo kaahidi kua Atakua akitoka na Traki mpya Kila ifikapo Tar 01 ya kila mwezi, na mpaka sasa asha Anza na track Mbili. Anawaomba mashabiki kumuunga mkono kwa harakati zake na pia Mtegemee mambo makubwa katika tasniya ya Muziki hasa mwaka huu 2014. Unalakusema, tutumie maoni yako hapa selengakaduma@gmail.com





HERI YA KRISMAS NA MWAKAMPYA/ PIA KUTIMIZA MWAKA 01 WA MTANDAO HUU KUWA HEWANI.

BLOG YENU YENU YA KIJANJA IMETIMIZA MWAKA MMOJA SASA RASMI TANGU ILIPO ACHIWA HEWANI, TAR 02/01/2013. SHUKRANI ZA DHATI ZIWAFIKIE  Tenya Brown, (blog launch designer and editor)  Emmo da Pro, ( blog advisor) Lusimiko Unyax Kaduma (Blog founder), Dogo Scopy (Blog advisor), James Mtalemwa (Blog Advisor), and Selenga Kaduma (Blog CEO/ Owner) Kama washauri na wahusika wakubwa kwa uwepo wa blog hii www.selengakaduma.blogspot.com , mpaka leo Inatimiza mwaka Mmoja sasa.Tunashukuru wadau kwa mani yenu na tunaomba zidi pewa maoni pale unapo huwishwa kufanya hivyo ili koboresha zaidi kwa tuyafanyayo. Karibuni.
KWANIABA YA WAENDESHA BLOG HII WOTE KAMA BLOG CEO, NAPENDA KUWATAKIA SIKUKU NJEMA YA KRISMAS NA MWAKAMPYA WADAU WOOTE WA SANAA, WANAHABARI, NDUGU, JAMAA, NA MARAFIKI. YESU AZALIWE MIOYONI MWENU UPYA, ASANTENI NYOTE.