KITAA SHOP |Bofya Picha Kutembelea Kitaa Shop

Monday, March 2, 2015

TOP IN PEMBA - YANANIUMIZA SANA ( New Audio )


Bofya HAPA http://goo.gl/vfVc4c kupakua wimbo wa "Top In Pemba" kwa jina Yameniumiza Sana toka @noizmekah chini ya @defxtro kwa mawasilano/mahojiano zaidi check na TOP IN PEMBA kwa nambari +255 752 105 153 powered by @vmgafrica www.vmgafrica.com #SupportYourOwn #vmgafrica --

INDEPENDENT GRADUATES DEVELOPMENT ORGANISATION ( General News )



IGDO ni taasisi huru ya wahitimu na wanafunzi wa vyuo vikuu katika madaraja yote inayojihusisha na shughuli mbalimbali za maendeleo. taasisi hii inahusisha watu wenye vipaji mbalimbali kama wasanii, watayarishaji wa kazi za sanaa wanahabari na wahitimu wakawaida. utendajiji kazi wa taasisi hii umeshaanza maeneo malimbali nchini kama MOROGORO, MBEYA , IRINGA, NA UKEREWE. taasisi hii inawakaribisha wanavyuo wote kujiunga ili kusukuma gurudumu la maendeleo katika nyanja zote kama kilimo na biashara, ujasiliamali, uhifadhi wa mazingira, na afya. taasisi inaomba mchango wako ukiwa kama mwanahabari, mwanazuoni, mwanasiasa au mwananchi wa kawaida kuweza kutoa taarifa kwa jamii kuhusu taasisi hii ili kuweza kufikia malengo yanayoadhimiwa

BAD BREAKERS - BILA WEWE ( New Audio )


Bofya HAPA http://goo.gl/TsFz2H kupakua wimbo wa Bad Breakers kwa jina "Bila Wewe" ikiwa ni mkono toka kwa producer Dra wa DRA Recs Monduli na vocals pande za Noizmekah chini ya Defxtro, kwa mawasiliano/mahojiano zaidi check na BAD BREAKERS kwa nambari +255 753 064 793 au +255 769 382 617 powered by www.vmgafrica.com @vmgafrica #SupportYourOwn --

Dj Choka kuja na NITALALA UZEENI 13/3/2015...


Kama ilivyo ada Dj Maarufu Nchini Dj Choka,kutoa nyimbo zake kwa kuwaimbisha wasanii kadhaa nchini,Hivi punde anataraji tua Mtaani na ngoma mpya Itakayokwenda kwa jina la NITALALA UZEENI. Hayo yameweza dhihirika hii leo Baada ya Dj huyo kuweka kipande kidogo cha video kwenye Ukurasa wake wa Istagram @chokadj Kikionyesha wakiwa Studio za A.m Records,wakiifanya Track hio ambaayo inategemewa kuingia mtaani tarehe 13/3/2015 hii ni baada ya kipande hicho cha video kua kimeandikwa tarehe hio. Ungana nami hapa chini kukitizama. HII NDIO ILIKUA COMMING SOON YALEO. KAMA NAWEWE UNA CHECHOTE UNACHOTARAJI INGIZA MTAANI NAKUSHARE NAJAMII CHASANAA TUTUMIE HAPA MOJA KWA MOJA TUTAKIRUSHA, selengakaduma@gmail.com Ama Simu Namba 0757363005