Wimbo “RUSHA” umeachiwa na KING KAKA ambaye amejiunga na amemshirikisha NAVIO pamoja na JAY MOE. Isitoshe, mixtape hii “It’s The King" ina nyimbo 14. Pakua mkito huu hapa:...
Inspector Haroun amerudi tena na safari hii yupo na Ibra na Jay Moe kwenye wimbo mpya January to December!
"Shkamoo Januari nasema bye bye, pilau na wali tutaonana Februari" ndivyo inavyoanza verse ya babu.
Burudika na wimbo huu hapa >...
Abby Skillz ni mmoja wa wasanii wa Bongo Flava aliyekuwa kwenye game kwa muda mrefu akifanya kazi na wasanii wengi kama Dully Sykes, Mr Blue na wengine wengi! Amewahi kutamba na nyimbo kama "Nakupenda" na "Mimi na Wewe"
Huu hapa wimbo wake Mama Koku!
Link > ...