
Uzinduzi wa studio mpya za kisasa za Azam TV zilizoko eneo la Tabata Relini, jijini Dar es salaam umefanyika leo.
Naibu
Mtendaji Mkuu wa Azam Media Limited, Tido Mhando ambao ndio wamiliki wa
Azam TV, aliwaambia waandishi wa habari jana kuwa studio hizo
zimegharimu zaidi ya bilioni 56.
Studio...