KITAA SHOP |Bofya Picha Kutembelea Kitaa Shop

Thursday, December 10, 2015

NAFASI YAKO SASA YA KUIPATA ALBUM YA FRESH ANDY & TENYA BROWN "PAWAMBU"


KAMA ZAWADI YA MWISHO WA MWAKA, KWA WAPENZI WOTE WA MUZIKI ALBUMU YENYE NYIMBO ZA KISWAHILI MCHANGANYIKO NA NYIMBO ZA ASILI KATIKA MFUMO WA DVD, SASA IPO MTAANI RASMI TANGU MAPEMA MWANZONI MWA WIKI HII. UNAWEZA ITAFUTA SASA MTAANI KWA JINA LA "PAMBWAMBU" LIKIWA NA MAANA YA NG'AMBO TOKA LUGHA YAKIHEHE. UNAWEZA IPATA POPOTE ULIPO TANZANIA KUPITIA MAWASILIANO YALIOAINISHWA KWENYE KAVA HAPO JUU. INAUZWA KWA BEI ZA KITANZANIA TSH 3000/- TU.

WAKAZI KUINGIA KWENYE KINYANG'ANYIRO CHA BEST KORA BEST HIP HOP 2016


@Wakazimusic (Tanzania) has been nominated for the 2016 Kora Awards as "Best Hip Hop Act" alongside K.O (South Africa), Sarkodie (Ghana), Stanley Enow (Cameroon), Hamzaoui Med Amine (Tunisia) & Kiff No Beat (Cote D'voire). The Award Ceremony will take place in Windhoek, Namibia on March 20th 2016. Congratulation Broo

EWI - KUMBUSHO KWA RAISI ( New Audio )


Kupakua wimbo wa EWI (Environmental Warriors Of Ilboru) kwa jina "KUMBUSHO KWA RAIS" ikiwa ni HipHop category yenye sauti za wakali Bounako, Spac Dawg, Boox, Chindo pamoja na Gnako mkono toka kwa @defxtro @noizmekah Studios kwa mawasilano/mahojiano zaidi check na Mkurugenzi wa EWI Ayubu kwa nambari +255 785 435 435 Powered by @vmgafrica @mkitodotcom www.vmgafrica.com @defxtro #vmgafrica #SupportYourOwn

COMING SOON: BAADA YA BEST NASSO NAISHU YA MADAWA YA KULEVYA SASA AFUNGUKA YAHA HAPA


Baada Ya Kusemekana Best Nasso, Amekamatwa nchini Congo na Madawa Ya Kulevya. Hatimae amewadhihilishia mashabiki wake kua tuhuma hizo si za kweli,Na Ameachia bonge moja la wimbo. Wimbo uitwao "RUMBA" ni Audio Pamoja na Video,Amesema wimbo huo Utaanza Kupatikana kwenye mtandao wa Mkito.com kuanzia Jumamosi Tarehe 12 mwezi wa 12 ambayo ni siku yake Ya Kuzaliwa. Endelea kuungana nami hapa ili uwe wakwanza kuupata punde tuu utakapo achiwa rasmi.

Ram Life ft Makamua & B the Boss Man - NIPENDE KAMA NILIVYO ( New Audio )


Msanii wa hip hop "Ramlife" amekuletea ngoma hii mpya maskioni mwako ambayo ameitambulishwa rasmi kupitia www.eriqure.com , Wimbo unaitwa NIPENDE KAMA NILIVYO ulioandaliwa na Producer KAJU BEATS, Amewashirikisha "Makamua na B The Boss Man"

BELLE 9 - BURGER, MOVIE, SELFIE ( New Audio + Lyrics )


LYRICS VERSE 1 toka nimuone sura haipoteiiih nashindwa kubadili profile picha watsap/ najaribu kusubiri moyo haungojei/ for the first time I dedicate this track (huuuuuuh) njoo nikuoneshe nini unatakiwa upate mtoto mzuri mzuri kaama weeeh/ (huuuuuuh) the best couple in this world we na belledaily baby hold me tight/ PRE CHORUS burger movie selfie popcorn (anataka yeeh) burger movie selfie kiss and hug (anataka yeeeh) CHORUS (yeeeeeh) ameniweza (yeeeeeeeh) tunapendeza (yeeeeeeeeh) hoooh hoooo (yeeeeeeeeeeh) hoooh hhoooh oooh ooooh ooooh ooooh ameniweza ooh ooh oooh ooh tunapendeza oooh oooh oooh oooh (come again) VERSE 2 hajawahi kunifaanya niwe lonely/ hata kidogoooooh/ walokutenda uwe lonely/ wape kisogoooh (huu lalala) African queen you are my sunshine/ give me some more I want to fly/ African queen you are my sunshine/ give me some more ooh ooh oooh oooh ooh ooh/