KITAA SHOP |Bofya Picha Kutembelea Kitaa Shop

Thursday, January 31, 2013

Wednesday, January 30, 2013

Tuesday, January 29, 2013

FURAHA MTITU amekamlisha albam yake ya kwanza

HUYU NIMWIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI KUTOKA NYANDA ZA JUU KUSINI MKOA MPYA WA NJOMBE (LUDEWA) AMESHA MALIZA ALBAMU YAKE YA KWANZA YA AUDIO NA VIDEO INAYOITWA  ''BWANA YESU NISAIDIE''.......Imekamilika na nyimbo nane kwa manunuzi ya jumla na rejareja wasiliana nasi kwa : 0754 885 077  AU 0712 695 805

Baadhi ya picha wakati
wa utengenezaji wa video akiwa na director Tenya Brown wake nchini Malawi

 

                                     
 Director Tenya Brown akiwa katika pozi tofauti nchini Malawi baada ya kumaliza video ya mwisho ya muimbaji
Furaha Mtitu,
Na hii ni moja ya video ya Mwimbaji Furaha Mtitu iliyo katika albam ya ''BWANA YESU NISAIDIE''

Friday, January 4, 2013

Thursday, January 3, 2013