KITAA SHOP |Bofya Picha Kutembelea Kitaa Shop

Saturday, April 6, 2013

TANGAZO


Blog pekee Toka Nyanda za Juu Kusini Mwa Tanzania, Inayo Vumbua, Tangaza, na Sambaza vipaji mbalimbali Duniani kwote, kwa manufaa ya Msanii Moja kwa moja, na sio Bloger. Inafanya kazi masaa yote na Bure kwa Mwenye kipaji chechote, Bila Gharama yoyote toka kwa Msanii, Sharti likiwa ni moja tuu. Awe Mkazi wa Nyanda za Juu kusini, ama Mzawa, nikiwa namaana toka Mikoa ya Iringa, Mbeya, Njombe, Ruvuma, Na Rukwa, Lengo Likiwa ni Kuvumbua, Tangaza, Sambaza, Na Endeleza kazi za wasanii na vipaji vyao toka Mikoa ya Kusini Mwa Tanzania.
Jiskie Huru unapokua nasi wakati wooote.
Usiogope, Karibu (free of Charge)

contact us throgh; selengakaduma@gmail.com or 0653 36 30 05.
YOUR MOST WELCOME.