KITAA SHOP |Bofya Picha Kutembelea Kitaa Shop

Wednesday, January 29, 2014

NAS WAKITAA FT CHIBWA - MONEY ON MA MIND

Anajulikana kama Nas Wakitaa, Huku jina lake halisi likiwa Nasibu Luvanda, Tokea Mafinga Iringa, Ingawa kwa sasa Husling anafanyia Dar, Amekuja na Traki Mpya Ijulikanayo kama MONEY ON MA MIND Ambayo kamshirikisha CHIBWA. Anaomba saana Support yako Mdau kama. Zaidi chungulia Track yake hapa.

JOVIARY FT BENADO - USINIWEKEE HILA

Joviary ni Artist Anaetokea mbaye anakuja, kwa kasi zaidi kwenye gem na nyimboyake Iitwayo USINIWEKEE HILA Chini ya Tabasam Music. Amejaliwa kua na sauti nzuri, ni mwenye kipaji kuanzia utunzi mashairi mpaka Vocal. Mtaani kaanza na kazi hii kama kaziyake ya kwanza, Na mpaka leo ana kazi nyingine Mpya inayokuja, baada ya hii, Anaomba Saana Msaada wako, wa mawazo, Maoni, Ushauri na Ikiwezekana management. Week Hii Mwishon atakua Mafinga kufanya Video ya wimbowake mwengine Mpya Kwa Ofa Maalum Kutoka Alama Xp Video Production. Unataka Jua zaidi juu ya Artist Huyu Mpya Toka Mbeya? Uscose tembelea hapa mara kwa mara Kila kitu utakipata.