KITAA SHOP |Bofya Picha Kutembelea Kitaa Shop

Thursday, April 9, 2015

COMING SOON: TUMIA DAKIKA 2 KUMSIKILIZA DOGO SCOPE AKIZUNGUMZIA UJIO WA TRACK YAKE MPYA


ZIKIWA ZIMEBAKI SIKU CHACHE SAANA KUACHIWA MZIGO MPYA TOKA KWA MWANAMUZIKI DOGO SCOPE AKA FRESH ANDY, TOKA MAFINGA IRINGA, LEO AMEWEZA ZUNGUMZIA YALIJIRI JUU YAUJIO WA NYIMBO YAKE HIO ITAKAYOKWENDA KWAJINA LA EMBE DODO. SIKILIZA KWAKUBOFYA HAPA CHINI.

JITI TARAA -FT AYLER & LEAN JAZZ - BONGO SUPERSTAR ( New Audio )


MSANII CHIPUKIZI WA HIP HOP JITI TARAA BAADA YA KUTAMBA NA NGOMA YAKE YA WANGAPI SASA AMEKUJA NA NGOMA MPYA INAYOKWENDA KWA JINA LA BONGO SUPERSTAR ALIYOMSHIRIKISHA MWANADADA AYLER ALIYEWAHI KUTAMBA NA NGOMA YA MSAMAHA PIA YUPO ICON JAZZ KWENYE HIYO NGOMA IMEFANYIKA DM RECORDS CHINI YA MTAYARISHAJI MAHIRI DR. REGGY. KWA MAWASILIANO NA JITI TARAA CHEKI NAE INSTAGRAM @jiti_taraa_msuya FACEBOOK jiti taraa flowz kateta au WATSAPP thru 0717060121.

DOWNLOAD MIXTAPE YA WAKAZI HAPA Live From Stakishari. ( New Audio Mixtape )


Wakazi drops the long awaited mixtape "Live From Stakishari". Link: https://mkito.com/search/?name=live+from+stakishari This is the 5th mixtape since he started droping them and from the release of the earlier tracks like, "Dengue Fever", "One Day Yes", "Usinshike Mkono" and "Kwa Mtogole". Wakazi is currently in preparations to finish off his debut album and his international releases all set to drop this year.