KITAA SHOP |Bofya Picha Kutembelea Kitaa Shop

Saturday, November 29, 2014

WILLIAM OTUCK - ZAWADI YA X - MASS ( New Audio Album )


Album mpya ya Krismasi! Huu ndiyo wimbo wa utambulisho kutoka kwa William Otuck: https://mkito.com/song/zawadi-ya-x-mas/4691 Album nzima inapatikana hapa: https://mkito.com/artist-profile/otuck-william/964 Krismasi hii, Santa hatokuwa akitoa zawadi peke yake. Na hata hivyo inaonekana kuwa baadhi watamzidi katika hilo linapokuja suala la muziki! Otuck William, muimbaji wa soul, athibitisha hilo kwa kuleta mbele yako bidhaa mpya itakayobadili sura nzima ya msimu wa Krismas mwaka huu kimuziki. Ni santuri itakayokuwa imebeba nyimbo kumi na tano (15) mahususi kabisa kwa ajili ya Krismas. Akizungumzia album hiyo Otuck anasema; "“Zawadi Ya Krismasi” ni album yenye nyimbo 15 iliyotayarishwa kwa ushirikiano wa kwangu mwenyewe na Nach B, mtayarishaji kutoka studio za Beats Bank Music zilizopo jijini Mbeya. Hii si album ya dini (Gospel) japokuwa imebeba baadhi ya nyimbo za zamani za kidini za Krismas, ambazo tumezitayarisha katika mahadhi tofauti kidogo, lakini ni album inayohusu Familia, Matumaini, Faraja, Imani na Upendo. Kwa kadri ya ufahamu wangu inaweza kuwa album ya kwanza kabisa ya Krismas kuwahi kutengenezwa Tanzania au Afrika Ya Mashariki kwa ujumla”. Ni wazi kwamba kila mtu anatamani kujua nini hasa Otuck ametuandalia, kitakachodumu kwa muda mrefu na kutufariji kila ifikapo msimu kama huu. Album hiyo itakuwa ikipatikana katika mtandao wa Mkito.com kuanzia Tar 26 Novemba 2014. Lakini pia itauzwa katika mfumo wa CD. Kwa mawasiliano zaidi ya namna ya kupata CD hizo au kuwa wakala wa usambazaji, andika barua pepe kwa otuckwilliam@gmail.com au piga simu nambari +255712168011

Wednesday, November 26, 2014

Monday, November 24, 2014

JAY DEE FT DABO - FOREVER ( New Audio )


JAY DEE FT. DABO - FOREVER Pakua wimbo mpya kabisa kutoka kwa Lady Jay Dee na Dabo. Jay Dee amehama kidogo kutoka style yake ya kawaida ya Zouk Rhumba na kuimba wimbo huu katika style ya Reggae. Amemshirikisha mdogo wake Dabo ambaye ni mshindi wa tuzo ya KTMA best reggae artist wa Tanzania mwaka 2013.

PICHA MTIKISIKO 2014 - IRINGA ( Photos )

KAMA ULIPITWA NA SHOW YA MTIKISIKO 2014, ILIOFANYIKA UWANJA WA SAMORA IRINGA USIKU WA TAREHE 22/11 KUAMKIA SIKU YA TARE 23/11. UNGANA NASI HAPA KUONA KILICHOJIRI HUKO KWANJIA YA PICHA MNATO ZAIDI YA . SHOW HIO KUBWA INAYOFANYIKA NYANDA ZA JUU KUSINI KILA MWAKA MSIMU KAMA HUU, CHINI YA KITUO BORA CHA RADIO EBONY FM IRINGA. IMEKUA GUMZO SAANA KWA MIKOA YA NYANDA ZA JUU KUSINI KAMA SHUKRANI NA KUWAKUTANISHA WASIKILIZAJI WAKE WOTE WA MIKOA YA KUSINI PAMOJA, KWA KUPONGEZANA NAKUSHEREKEA. IMEKUA PIA IKIHUSISHA WANANII WAKUBWA MBALIMBALI TANZANIA, NA NJE YA TANZANIA. MFANO, WASANII WALOSHIRIKI KATIKA TAMASHA HILI BAADH, WALIKUA NI DIAMOND PLATNUMZ, KALA JEREMIA, T.I.D, LINEX, IZZO B, NAWENGINE WENGI, WAKISINDIKIZWA NA WASANII WACHANGA TOKA MIKOA YA KUSINI KAMA, MEDDA CLASSIC, OBBY, DEE GOSBA, MAC MC, NEMMY MC, NA WENGINE WENGI... ZAIDI ENDELEA TIZAMA MAPICHA HAPA CHINI....

IZZO B MTOTO WAMBEYA AKIFANYA YAKE.


KALA JEREMIAH PIA ALITISHA NAE

DJ NASS (kushoto) na EDDO BASHIR ( kulia ) WAKIAMSHA AMSHA KWA STAGE KAMA ILIVYO KAWAIDA YAO.

EDDO BASHIRI - ( mtangazaji Ebony FM ) AKIZIDI PAGAWAWISHA MASHABIKI, BAADA YA MIZUKA KUMPANDA.


MAMA LA MAMA AKIYARUDI JUKWAANI NAMIONDOKO YAPWANI

DIAMOND PLATNUMZ ALIEBEBWAJUU NA WACHEZAJI WAKE.


NAHUYU NDIO YULE MTOTO MEDDA CLASSIC ALIE MWANDIKIA BARUA DIAMOND, AKIWAKILISHA VYEMA.

T.I.D NAE HAKUA NYUMA KUONYESHA UKONGWE WAKE ALONAO KATIKA KIPAJI CHAKE CHAKUPAGAWISHA MASHABIKI.


Saturday, November 22, 2014

ANGEL BENARD - MIMI NA YESU ( New Audio )


ANGEL BENARD - MIMI NA YESU Wimbo wa 5 wiki ya 5 Kati ya Nyimbo 10 zinazotakiwa ingia mtaani. Ni wimbo unaoelezea jinsi ambavyo Mungu ni ukamilifu wa maisha ya mwanadamu. Na hivyo hakuna cha kuogopa wala wa kumuogopa humu duniani. Kila kitu kimetoka kwa Mungu, kinapatikana kwake na mwisho wa siku tuna kila sababu ya kutoogopa na kukiri kwa ujasiri kuwa yote yanapatikana kwake. LYRICS MI NA YESU VERSE1 Bwana ni ngome yangu, wimbo wangu milele, uuuu... Bwana ni mwamba wanguu, sitaogopa kamwe, yeeaahh.. Bwana ni wokovu wangu, utukufu wangu, Bwana ni nguvu zangu, nimwogope nani... -- Bwana ni wokovu wangu, utukufu wangu, Bwana ndiye nguvu zangu, nimwogope nani yeaahh uuu nimwogope nani*2 CHORUS Mi na yesu tu*3 milele*3 VERSE2: Bwana ni tumaini langu, kimbilio milele, mmhhh Bwana ni uzima wangu, msaada ulio tele, yeehh uu Bwana ni mchungaji wangu, ni pumzi yangu, Bwana ni utajiri wangu, mimi nimwogope nani Bwana ni mchungaji wangu, ndiye pumzi yangu, Bwana ni utajiri wangu, nimwogope nani CHORUS Mi na Yesu tuuu*...

Thursday, November 20, 2014

Tuesday, November 18, 2014

IRINGA ALL STARS - R.I.P GEEZ MABOVU ( New Audio )


HUU NDIO WIMBO ULIOTENGENEZWA NA SAMPAMBA MUSIC - IRINGA CHINI YA PRODUCER MWASILE AKA SILEEY. NYIMBO HII IMETENGENEZWA NA WASANII WACHANGA TOKA IRINGA KAMA WAWAKILISHI WAWASANII WOTE WA IRINGA NA MIKOA YA NYANDA ZA JUU KUSINI KATIKA KUMUENZI MAREHEM GEEZ MABOVU BAADA YA KUTAMBUA MCHANGO WAKE KWA WASANII WACHA. NDANI ZIMEHUSIKA SAUTI ZA WASANII ZAIDI YA 13. UNGANA NASI HAPA KUUSIKILIZA WIMBO HUU.

picha za Location ya WITNESZ TZ - Chunga mdomo wako ( New video Comming soon )

hapa ni moja y location wakati tunarekodi video ya chunga mdomo wako, na ni video ya kwanza ya peke yangu kurekodi na wasichana tu[pu pia ni kati ya video queens walioo kwenye otchunes 20 video queens ambapo otchunes 20 ni kipindi cha tv kinchohusika na kutafuta na kuendeleza vipaji mbali mbali ikwemo ,muziki acting,video dancers,video queens wote wanapatikana wakihitajika hata sasa ambapo mara nyingi ilikua taabu sana kwangu mimi kupata wasichana ili washiriki nami kwenye music videos ila kwa sasa kwa kuwa ninao na ninawaandaa kmwenyewe ndo maana nimepata urahisi wa kuwatumia kwa mswali zaidi nicheki hewani 0717 757 75 82



DIAMOND AMPA SHAVU MEDA CLASSIC BAADA YA KUPATA BARUA YAKE ( Up Date Info )


SIKU CHACHE BAADA YA VIDEO YA MSANII MEDA WA IRINGA IITWAYO BARUA KWA DIAMOND KUINGIA MTAANI, HATIMAE BARUA HIO IMEWEZA MFIKIA DIAMOND NA KUMFANYA AYASEME HAYA KUPITIA UKURASA WAKWE WA Twitter na Instagram " Kiukweli simfahamu, sijawahi hata kumuona wala kuzungumza nae. Na sio kwasababu eti kaniimba mimi, Hapana! Ila ni serious na uzuri wa kazi alioifanya ndivyo vimenifanya nione ni vizuri kumleta hapa wadau ili kwa pamoja tumsupport naye kesho na keshokutwa afikie malengo ya kaziyake na kua balozi mzuri wa nchi yetu kupitia Bongo Flavour. Huyu hapa anaitwa MEDA kutoka IRINGA." HIVYO NDIVYO ALIVYO ANDIKA DIAMOND. HUENDA OMBI LA MEDA LIKAFANIKIWA KWENYE BARUA HIO, MIMI NAWEWE HATUJUI. Endelea Kutembelea Ukurasa wetu kwamaInfo na mastory Zaidi...

Monday, November 17, 2014

WALICHOKIFANYA EDDO BASHIRI NA DJ NAS MTIKISIKO MAKAMBAKO 2014 KWA MASHABIKI ( Up Date Info Video )


KAMA ULIMISI HUDHURIA SHOW YA MTIKISIKO MAKAMBAKO 2014, HIZI NDIZO KUFURU ZILIZOFANYWA KWA STAGE KATI YA EDDO BASHIRI,(MTANGAZAJI EBONY FM), NA DJ NAS, (DJ TOKA EBONY FM), DHIDI YA MASHABIKI WAO. NAN ALIFUNIKA? TIZAMA VIDEO HIO HAPO CHINI...

Sunday, November 16, 2014

DARK MASTER ATANGAZA KUOKOKA RASMI BAADA YA KIFO CHA GEEZ MABOV. ( Exclussive Interview Na Nelly B - Nuru FM )


Kipindi ; STREET BAMIZA Radio : NURU FM 93.5B IRINGA Host & Producer NELLY BE.. EXCLISSIVE INTERVIEW YA NELLY B NA DARK MASTER TOKA NURU FM IRINGA BAADA YA KIFO CHA MSANII GEEZ MABOVU ATANGAZA KUOKOKA. SIKILIZA HAPA CHINI.

Friday, November 14, 2014

HII NDIO SAFARI YA MWISHO YA MAISHA YA Ahmed Ally Upete 'Geez Mabovu' DUNIANI.

Ahmed Ally Upete 'Geez Mabovu' ALIZALIWA MWAKA 1983 IRINGA TANZANIA.KAMA ARTIST MKUBWA WA HIP HOP TANZANIA, ALIWEZA FANYA HIT SONG KALI KADHAA, IKIWEMO MTOTO WA KIUME, DAKIKA 0, NA NYINGINE NYINGI
PICHANI NI PRODUCER LAMAR AMBAE MPAKA UMAUTI UNAMKUTA GEEZ ALIKUA AKIFANYA PROJECT NAE YAKUMUANDALIA GEEZ ALBUM YAKE AMBAYO ILITARAJIWA KUWA ALBUM YAKWANZA KUTOKWA KWA GEEZ KUINGIA MTAA. KWAMUJIBU WA MDOGOAKE GEEZ MABOV, MAD P, TULIPO ZUNGUMZANAE ALISEMA ALBUM HIO ILIKUA IMESHA KAMILIKA NA INANYIMBO 13 ILA ILIKUA KWENYE HATUA ZAMWISHO. ALIPOULIZWA JUU YAKUTOKA ALISEMA NIMAPEMA MNO KULIZUNGUMZIA HILO.










Ahmed Ally Upete 'Geez Mabovu' amefariki dunia Jumatano, mida ya Saa Moja akiwa mkoani Iringa alikokwenda wiki mbili zilizopita akitokea jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa bwana Dennis ambaye alikuwa mtu wa karibu wa Geez Mabovu amethibitisha kuhusu kifo hicho na kusema rapa huyo aliondoka Dar kwenda Iringa akiwa kwenye hali ambayo sio nzuri kiafya.

EMMANUEL ATMIN aka Emmo AMEWEZA MZUNGUMZIA ZAIDI GEEZ MABOV KAMA MTANGAZAJI KATIKA REDIO NDINGALA ILIOPO MKOANI RUKWA-SUMBAWANGA KATIKA KIPINDI CHAKE MAARUFU CHA AFRO CIRCLE KINACHOFANYIKA KILA SIKU KUANZIA SAA MBILI KAMILI USIKU HADI SAA NNE KAMILI. ZAIDI MSIKILIZE HAPA CHINI KATIKA KIPINDI CHAKE ALICHOFANYA TARE 13/11/2014 BAADA YA MAZISHI YA GEEZ MABOV IRINGA.