KITAA SHOP |Bofya Picha Kutembelea Kitaa Shop

Monday, April 13, 2015

BIOGRAPHY YAWIKIHII: MJUE MWANDAAJI WA MUZIKI NOEL CHIPA ( CHIPA MAGNETO ) KATIKA MUZIKI.


Jina langu naitwa noel chipa, ama chipamagneto kamainavyojulikana kwa wengi ndilo jina nalotumia kwa wengi na ndilo jina nalotumia katika shughuli za kimuziki nilizaliwa January 01/1991 Ruvuma songeandipo nilipohitimu elimu ya msingi na sekondari baada ya kumaliza elimu ya sekondari 2008 nikajiunga na chuo cha RUAHAUNIVERSITYCOLLEGE kilichomo mkoani IRINGA na kusoma information technology{IT} Nilianzakujifunza shughuli hiinikiwa na umriwamiaka 14,songea-RUVUMA ambaponilijipatiauzoefuhuo katika studio ya ps record. Baada ya haponikaendeleakufanyakazi na studio tofautiikiwemo bantu music ambakonilifanya hits mbalimbaliikiwemo KITENGO MAALUM ya mac mc ambayoalimshirikishagnako kwasasanafanya shughuli zangu katika studio ya SWAHILI INCOPERATION ambayoiko TEMEKE- DAR ES SALAAM Kwa mawasilianopiga 0657661381 au 0657661382 au email directoramanzi@gmail.com Kama Ni mwanasanaa na Unataka share Biography yako na mafansi wa ukurasa huu, ama Update yeyote unaweza tutumia hapa selengakaduma@gmail.com ASANTE NA KARIBUNI

PNC - YULE YULE ( New Video )


Singer Name:- Pnc Song Name:- Yule Yule Country;- Tanzania Genre;- Bongo Flavour Director:- Saimako Hi, I hope you're doing well. This is brand new Video from The Big Apple by Artist -Pnc track _ Yule Yule We thanks for promoting us everyday.. God bless you... Follow me> https://twitter.com/johventure Or https://facebook.com/johventuremusic kwa Mawasiliano Zaidi ;- Pnc +255 655 478 963/Joh Venture +255 766 346 778

DIAMOND FT KHADIJA KOPA - NASEMA ( Audio + Rylics )


Pamoja na kuwa wimbo mpya wa Diamond ulishfikia wengi kwenye mitandao inabidi kukubali kazi ya huyu kijana na kusikiliza Original Master Copy ya wimbo NASEMA NAWE aliyomshirikisha Khadija Kopa. Wimbo unapatikana rasmi kupitia hapa. Pia furahia lyrics tamu kutoka kwa Diamond na Khadija Kopa. VERSE 1 Halloooo Aah, Kutwa viguru njiani majirani wote wamekuchoka Mara chumba cha fulani mtu gani we kwako usoka Washinda vibarazani ya wenzako kuropokaaa Kwa kuwa umemuona Fulani ona usoo ulivyokukoboka Sio mwisho vibaoni adi kwenye vigodoroo Usio na haya usoni kote wazua migogoro Ivi wewe haujioni kuwa unakasoro Uso mchana jioni si wajuz si tomorrow Sio mwisho vibaoni kwenye vigodoroo Usio na haya usoni kote wazua migogoro Hivi wewe haujioni kuwa unakasoro Uso mchana jioni si wajuz si aaaah! CHORUS Nasema naweee x3 Uso haya nasema nawe Umezoea (nasema nawe) Chezea chezea (nasema nawe) Aaah!! Umezidi (nasema nawe) Zidi (nasema nawe) zidi (nasema nawe) VERSE 2 Mmmmmhhh, mmmh Aahh!! Zingifuli zingifuli zinga mahala ukakaa Usoo mila desituri usiyejua tongozwa ukakataa Usio hiana fedhuri uongo umekuja Kujifanya mashuhuri kumbe chaka umechakaa Aagah!! Mwanzako mim turufu si garasa Mwenye nyota ya umaarufu si kupapasa Tena jokali la nguvu makarata Lile hodari maguvu si kwasakwasa Ooohh!!! Mwenzako mimi turufu si garasa Mwenye nyota ya umaarufu sio hozakosa CHORUS Nasema naweee x3 (nawe nawe oh) Uso haya nasema naweee Nasema naweee x 3(nawew oh) Nimechoka nasema nawee Umezoea (nasema naweee) Chezea chezea (nasema nawee) Aaah!! Umezidi (nasema naweee) Zidi (nasema naweeee) Uso haya nasema naweee Oooohhh!!! (nasema naweee) Nasema nawee x 3 (nawew oh) Nimechoka nasema nawee….

RAY TEKNOHAMA FT NIKKI MBISHI, DIZASTA, GHETTO AMBASSODOR,BIGGIE BOSS,ONE THE INCREDIBLE,P THE MCEE,CLINT FIERCE,TRUBADOUR,PHILLY TECHNICS,SIX O'CLOCK,STEREO,SONGA,ZAIID SONG- THE GAME ( New Audio )


ARTIST- RAY- TEKNOHAMA FT NIKKI MBISHI, DIZASTA, GHETTO AMBASSODOR,BIGGIE BOSS,ONE THE INCREDIBLE,P THE MCEE,CLINT FIERCE,TRUBADOUR,PHILLY TECHNICS,SIX O'CLOCK,STEREO,SONGA,ZAIID SONG- THE GAME MOTO REC/TAMADUNI MUZIK

BLOOD POWER FT HD - GOMA ( New Audio )


kupakua wimbo wa "Blood Power" wakimshirikisha Mwanadada "HD" katika wimbo kwa jina "Goma" ikiwa ni BongoFleva Category,kwa Mawasilano/Mahojiano zaidi check na BLOOD POWER Kwa +255 764 965 568 au +255 768 490 592 powered by @vmgafrica #SupportYourOwn @defxtro --

MBIGIRI SQUAD - INAKUA NINI? ( New Audio )


kupakua wimbo wa "Mbigiri Squad" wakiwakilisha Karatu katika Game la Bongo,Ngoma inaenda kwa jina "Inakuwa Nini" ikiwa ni hiphop category toka @noizmekah, kwa mawasilano/mahojiano zaidi +255 655 531 090 & +255 766 155 428 powered by www.selengakaduma.blogspot.com, @vmgafrica @defxtro www.vmgafrica.com #SupportYourOwn --