KITAA SHOP |Bofya Picha Kutembelea Kitaa Shop

Sunday, October 12, 2014

LIL STIGGAR - MIXTAPE ( RISE AND SHINE )

MSANII MKALI WAMIONDOKO YA HIPHOP KWA AKINA DADA TOKA MBEYA - TANZANIA SASA KATUA NA MIX TAPE YAKE MTAAN IITWAYO RISE AND SHINE (VIDEO). MWANADADA HUYU AMBAYE KWASASA ANAJULIKANA KWA JINA LA LIL STIGGAR AKA QUEEN OF HIPHOP AMEJIZOLEA SAANA UMAARUFU HIVI KARIBUNI BAADA YA NYIMBO YAKE INAYOKWENDA KWA JINA LA "YES I CAN" KUANZA CHEZWA MPAKA MOJA YA VITUO VIKUBWA VYA TV DUNIANI MTV BASE. KWASASA PIA ANATAMBA NA KIBAOCHAKE KIPYA MTAANI KIJULIKANACHO NKAMA "NATAFUTA KIKI",ALICHO MSHIRIKISHA QUEEN DARLIN & NASH DESIGNER, NA KINGINE KIITWACO "LIKE". KUIPATA MIX TAPE HIO WASILIANA NA NAMBA HII POPOTE ULIPO 0654079930 KUIPATA KWA TSH 5000/- TU.

HABARI NJEMA KWA WANAMUZIKI WOTE TANZANIA. ( Up Date Info )

Habari, Tunayofuraha ya kukukaribisha kuanza kutumia Widget mpya ya Mkito.com kwaajili ya kuuza nyimbo zako kwa wasanii wote Tanzania. Tofauti na Widget za Hulkshare na SoundCloud, kwa kutumia widget ya Mkito.com utalipwa kwa kila download itakayo pitia katika blog yetu. Malipo ni kama ifuatayvo: Msanii = 60% Mkito.com = 32% Blogger = 8% Jumla = 100% Blog yako hii ya selengakaduma, imeamua jiunga rasmi na mtandao huu wa Mkito.com kuanzia tar 11/10/2014 ili kuweza kuwanufaisha zaidi wasanii kwa kazi zao wanazo fanya,kwa kila Download itakayofanyika ya wimbo wake utakao kua katika mtandao wetu. Malipo yamezingatia zaidi maslahi ya msanii, kama ulivyoweza ona mpangilio wamalipo hapo juu. Kwa maoni na ushauri,zaidi waweza tembelea mtandao wa mkito.com ama 0767 769 921 au tuandikie kupitia info@mkito.com USIPOTEZE BAHATI HII KAMA MWANAMUZIKI, KUWA WAKWANZA KUNUFAIKA NA KAZI ZAKO. ASANTE KWAKUTEMBELEA UKURASA WETU. NA KARIBU TENA.