KITAA SHOP |Bofya Picha Kutembelea Kitaa Shop

Monday, April 6, 2015

BIOGRAPHY YAWIKIHII: MJUE MTANGAZAJI BORA NA MAARUFU ZAIDI NCHINI ALIKOTOKA NAALIPO KWASASA - MILLARD AFRAEL AYO.

Millard Afrael Ayo alizaliwa Arusha January 26 akiwa ni mtoto wa kwanza kwenye famili ya watoto wanne ya Afrael Ayo ambae ni mmeru wa Akheri Tengeru, ni mfanyabiashara na mama Mary Ayo ni mwalimu. Baada ya mama yake mzazi kuona uharaka wa uelewa wa Millard, alimuanzisha shule akiwa mdogo sana...

COMING SOON YA LEO: FRESH ANDY AKA DOGO SCOPE KUJA NA EMBEDODO BAADA YA CHAUSIKU.

MWANAMUZIKI FRESH ANDY AKA DOGO SCOPE TOKA MAFINGA, ANATARAJI KUJA NA WIMBO MPYA HIVI PUNDE BAADA YA UKIMYA WA MUDA MREFU TANGU CHAUSIKU. WIMBO HUO ULOFANYIKA CHINI YA STUDIO ZA CHRIS RECORDS - PRODUCER KENNY, UNATARAJI INGIZWA RASMI MTAANI TAREHE 13/04 MWAKAHUU. MWANAMUZIKI HUYO AMESEMA TRAKI HIO...