KITAA SHOP |Bofya Picha Kutembelea Kitaa Shop

Saturday, December 14, 2013

B ALONE ( Artist toka Njombe Mkali wa stage Nyanda za Juu Kusini, yaani Hakunaga 2013)

B ALONE MWANA MUZIKI TOKA MKOANI NJOMBE MWENYE CREW IJULIKANANAYO KAMA LUCK NUMBERS, CHINI YA DPM ENTERTAINMENT  KWA MUJIBU WA MASHABIKI NA CREW NZIMA YA BLOG HII HUYU NDIE MSANII BORA KWA KUMILIKI JUKWAA NA KUPIGA SHOW KALI. LICHA YA KUA ANA MADANSA PIA ANAJUA KUCHEZA NA KWENDA SAWA NA MADANSA...

EMMO DA PRO' FT MED C - NIPE KIDOGO ( Mwanamuziki Bora katika miondoko ya POP na Mbunifu Zaidi Nyanda za Juu kusini mwa Tanzania 2013)

EMMO DA PRO' NDIE MWANAMUZIKI BORA WA MWAKA 2013 KATIKA MIONDOKO YA POP, NA PIA NDIE MWANAMUZIKI MCHANGA PEKEE TOKA MIKOA YA NYANDA ZA JUU KUSINI ALIEWEZA ONEKANA ANAWEZA PAMBANA NA SOKO LAKIMATAIFA KWA UBUNIFU ZAIDI KATIKA KAZI ZAKE,NA KATIKA KUUTANGAZA MUSIC WA KIAFRIKA. HII IMEWEZA DHIHIRIKA...

Sunday, December 8, 2013

Friday, December 6, 2013

KEVOO HARD - Rip Paul Walker

HII NI KUTOKA KWA MSANII MCHANGA TOKA IRINGA TOWN AITWAE KEVOO HARD. SOMA NA SIKILIZA HAPA ALICHO KIZUNGUMZIA JUU YA KIFO CHA PAUL WALKER. Kama mdau mkubwa wa movie za Fast and the Furious na kama kioo cha jamii msiba wa Paul Walker umenigusa sana hadi kuchukua mda wangu kutoa haya maneno kwa wadau...

Sunday, November 17, 2013

SILVIA - nauliza why

ARTIST TOKA MBEYA, AJULIKANAE KAMA SILVIA, KASHUKA NA MZIGO MPYA UITWAO WHY? ULOFANYWA NA GACH-GREEN RECORDS, MBEYA.SHE HAVE GOOD VOICE, NICE BEAT, IMPRESSIVE......... KAMA HUAMINI FANYA KAMA UNAIDOWNOAD HAPA CHINI NA KUISIKILIZA. ANAOMBA SUPPORT YAKO MDAU. COMMENT ZAKO ZITAKUA MUHIMU PIA. MBEYA CITY...

Friday, November 15, 2013

HIKI NDIO KIPAJI KILICHO JIFICHA TOKA MIKOA YA KUSINI.

MKALI WAO IRINGA NA MIKOA YA KUSINI EMMO DA PRO' TOKA DA PROS ENTERTAINMENT, IKIWA CHINI YA USIMAMIZI WA EMMO DA PRO' MWENYEWE. INAVITU VINGI SAANA HII KITU. ANAHUSIKA NA VIDEO PRODUCTION, AUDIO PRODUCTION, DOCUMENTARIES PRODUCTION, GRAPHIC DESIGN, ADVERISEMENT NAPIA HUYU NDIO MKALI WA MUZIKI WA MIONDOKO...

Saturday, November 9, 2013

STANNA FT RAYMOND - RAP

STANNA THE BEST ARTIST FROM MBEYA NA MIKOA YA KUSINI KWA UPCOMMING ANAEFANYA HIPHOP. HUYU NDIO SERENGET SUPER NYOTA TOKA MBEYA 2013.NDO MKALI WA NEW SCHOOL ANAEKUJA TAKE OVER KWA HIPHOP OLD SCHOOL TANZANIA. KUELEWA NINI NAMAANISHA FANYA KAMA UNAIDOWNLOAD TRACK HII. BIG UP KWA QBASS QUALITY TOKA TABASAM...

SKOSA ft CLARENCE - NIMEKUA

MRITHI WA MIKOBA YA NIKKI MBISH HUYU HAPA, DOGO ANAEKUJA KWA KASI ZAIDI NYANDA ZA JUU KUSINI KWA HIPHOP, KID SKOSA, production imefanywa na KESSIZKESH RECORDS - MBEYA. SOPPORT YAKO NA MAONI NDO KILA KITU KWA KIPAJI HIKI KICHANGA. Mwambieni Nikki Mbish Ajipange coz Mapinduzi yamewad...

EMMO DA PRO' ft DJ NAS - PARTY TIME

EMMO DA PRO' MKALI MWENYE VIPAJI VILIVYO FICHIKA. NGOMA HII KATENGENEZA MWENYEWE KUANZIA BEAT MIXING MASHAIRI MPAKA POSTERS HII, PIA ANAFANYA VIDEO PRODUCTION. BUT JAMA KAFICHAMA SAAANA HUYU, COZ HAPENDI KUA MUWAZI NA VITU ALIVYONAVYO MPAKA NILIPOTUMIA NGUVU YA ZIADA KUUPATA MZIGO HUU, NDO AKAUACHIA....

Saturday, October 26, 2013

Friday, October 25, 2013

Saturday, October 5, 2013

Sunday, September 29, 2013

TABASAM MUSIC NA MUSIC NYANDA ZA JUU KUSINI.

TABASAM MUSIC, NI MUSIC PRODUCTION STUDIO ILOANZIA FANYA KAZI DAR MIAKA YA 2003 NA BAADAE KUHAMIA MBEYA. THEN KWASASA INAPATIKANA IRINGA CHINI YA PRODUCER QBASS QUALITY ALIOPO KWENYE PICHA HII. STUDIO HII IMEKUA IKIJA KWA KASI SANA HASA KWENYE KUFANYA KAZI ZA HIP HOP. MIDUNDO INAYOFANYIKA...

Saturday, September 28, 2013

NEMY- NIMEACHA POMBE

Nemy Artist Mkali toka Iringa Kuja na Track Mpya iitwayo Nimeacha Pombe, Chini Ya Sampamba Music. Zaidi Sikiliza ama Downloa track Hio chini hapa, support yako Mdau. Soon atatua na Track Nyingine alofanya na Mkali Wa Kuimba tz kwa sasa. Artist gan ka simama nae, Na track inakwenda kwa Jinagan, Subiri...

NAS WAKITAA ft MAYUNGA - UPENDO

Nas wa kitaa Artist Toka Mafinga-But Kwa sasa akiwa Dar, katua na Bongemoja la Mzigo yaani track Mpya Aliomshirikisha Mayunga Iitwayo Upendo. Bonge Moja la Ngoma Aisee, Fanya Kama unalitembelea hapa. <iframe id="hulkshare-player-embed" name="hulkshare-player-embed" src="http://www.hulkshare.com/hsPlayer/embed/embed_clean.php?fn=fo6on1dyjfgg&enableDownload=1&enableCover=1&enableAdd=false&bg=undefined&fg=undefined&iconColor=undefined&backColor=undefined&outColor=undefined&overColor=undefined&textColor=undefined&tintColor=undefined&pid=&type=7&width=100%"...

Friday, September 13, 2013

STANNA - NEW ERROR

STANNA - New Error Upcomming Artist Na Super Nyota wa Fiesta 2013 Mbeya. Mgodi wa Punchline Hataari. Akiwa chini ya Tabasam Records, Iringa kwa QBass. Fanya kama unachungulia chini hapo Uwezo wake. Sidhan kama kuna mwana HipHop Anaweza Tembea level za huyu dogo. Kama unabisha chungulia hapa http:...

Wednesday, September 11, 2013

Ujio mpya wa Man Simple Chini ya Produce QBass-Tabasam Records Huu hapa.

Huu ndio ujio Mpya wa Artist Toka Iringa Town, Man Simple. Kwasasa anasomeka na track yake Mpya iitwayo KIKAPTAIN ZAIDI, Chungulia hapa http://www.hulkshare.com/afjkckzulukg Na pia amekuja na Mzigo  Mwingine wakiwa na Geez Mabovu Uitwao MREMBO WA KUSINI nao pia chungulia hapa, http://www.hulkshare.com/raqycv69fn5s...

Monday, September 9, 2013

HIVI NDIVYO FIESTA SUPER NYOTA IRINGA 2013 ( ANGE TENA) ALIVYO PATIKA. FWATILIA HAPA.

 Kumsaka Super Nyota Iringa 2013 Ilianzia hapa, Man Fisa on Da stage, Mapemaaaaa alifungua.  Then akafwatiwa na Nas, kama kawa on Da stage.  Wa 03 akawa Absalum kupagawisha mashabiki kama kawa.  04 akanikimbizia Zack Mzee wa kalunde, kama kawa stajin.  05 Akawa Denyo...

Saturday, September 7, 2013