Thursday, July 14, 2016
Kwa kuusikiliza wimbo huu online Bofya kwenye kitufe cha alama ya Play hapo chini.
Saturday, July 9, 2016
Tizama na Sikiliza Wasifu wa Mwimbaji Angel Benard | Bioghraphy
Posted by NAOMIKADUMA On 1:42:00 PM
Umekua ukitaman mjua zaidi mwimbaji wa injili Angel benard? nimekusogezea hapa video fupi alizojizungumzia mwenyewe.
MAKAVU LIVE YA 2N MKULIMA BISHOW DHIDI YA MEDIA ZA MBEYA. | General News
Posted by NAOMIKADUMA On 1:04:00 PM
Mwana muziki mkongwe wa Hit song ya Jembe (Zamani) na Sinema Remix (Sasa) tokea dar, Amekua na ziara yake ya media tour kwa mikoa ya nyanda za juu kusini kwa muda wa mwezi mmoja sasa ambapo ziara yake imeisha rasmi leo tar 09/07/2016 ikiwa kama sehemu ya yeye kuitambulisha nyimbo yake mpya na kuaanza andaa maandalizi ya ujio wake wa album yake mpya. Akiwa katika tour hio amekiri pata Support kwa kiasi kikubwa kwa mikoa yakusini mwa Tanzania isipokua Mbeya. Nini kimemkumba zaidi some hapa chini kupitia post yake ya Instagram
Friday, July 8, 2016
Izzo Bizness Ft. Barnaba & Shaa - Usijiovadoze | Audio
Posted by NAOMIKADUMA On 7:30:00 PM
Unaweza play Online kwa kubofya kitufe cha alama ya play hapa chini...
Monday, July 4, 2016
Angel Benard - Salama (Gospel) | Video
Posted by NAOMIKADUMA On 10:08:00 AM
Andelea kubarikiwa kwa kusikiliza na kutizama Ghospel song toka kwa Mwimbaji Angel Benard.
Follow Angel Benard:
Facebook: www.facebook.com/AngelBenardOfficial
Instagram: @angelbenardofficial
Twitter: @AngelBenard
Sunday, July 3, 2016
Mo Talent ft Paff Raper - Nikupeti | Audio
Posted by NAOMIKADUMA On 10:34:00 PM
Kusikiliza Online bofya kitufe chenye alama ya play hapo chini
Saturday, July 2, 2016
Real Ice - Barua Kwa Wema | Audio
Posted by NAOMIKADUMA On 9:23:00 PM
Kusikiliza Ukiwa Online, bofya kitufe cha alama ya play hapo chini
Friday, July 1, 2016
Hassan Kiandi ft Pol Mapicha - Chap Chap | Video
Posted by NAOMIKADUMA On 1:30:00 PM
Nomekusogezea Video mpya ya Msanii mchanga toka Rukwa Sumbawanga ajulikanae kama Hassan Kiandi akiwa kamshirikisha Pol Mapicha. video inakwenda kwa jina la Chap Chap, imetengenezwa na Evo Media chini ya Director Emmo Da Pro.
Kutana na Wasifu wa Mwana Hiphop - P The Mc | Biography
Posted by NAOMIKADUMA On 1:30:00 PM
I was born "Cleophace Yessaya" first born in a family of three children in 1987 Mbeya Tanzania, Raised in Dar Es Salaam, Kiwalani by a single parent, my mother after my father's death Mr. Yessaya Njellah in 2007.
I Studied my primary education from 1996 to 2002 at Yombo primary school, proceeded with my secondary education from 2003 to 2006 at Forodhani (now St Joseph primary & secondary school) and got my advanced education from 2007 to 2009 at Benjamini Mkapa High School. Then i went to College Of Business Education to take a Diploma in Accountancy in 2010 to 2012.
I started listening to rap music since 2000 and officialy started writing my own lyrics and rapping in 2005 after being inspired by a now dead rapper Simon "Complex" Sayi, calling myself "P The Mc"
I was blessed to make my first album "Mwingi Wa Habari" which had 20 tracks in 2012 and received a great responce. Then in 2015 with my fellow rapper "Zaiid" we made a duo mixtape "Mwenge Kiwalani" one of the greatest mixtape in Tanzania rap history. Both the album and mixtape are still selling greatly online.
I have made two hit songs which which are still doing great on radio stations ina a country and out side the country, the tracks were recorded by a legend (The Founder of bongofleva Music) Dully Sykes under his own studio, studio 4.12. One of the tracks him and rapper Young killer were featured goes by the name "Run Dsm" and the other track an rnb superstar Jux was featured goes by the name"Na Mimi" all of them were produced by Dully Sykes himself.
Trio ft sylivia-tatanita | Audio
Posted by NAOMIKADUMA On 9:12:00 AM
Emmanuel Mgogo Auza wimbo wake wa Apewe Bwana | General News
Posted by NAOMIKADUMA On 8:18:00 AM
EMMANUEL MGOGO
Instagram | Facebook | Twitter = @mgogotza
Email ; mgogotza@gmail.com
Mobile +255 719 796 186
Nunua nyimbo yake mpya kwa Tshs 500/= tu
Apewe Bwana featuring Ambwene Mwasongwe
M-pesa +255 769 505 537
Tigo Pesa +255 719 796 186
HII KWA WATUMIAJI WENYE SIMU ZENYE HUDUMA YA WHATSAPP TU
JINSI YA KUNUNUA
1.
Lipia kwenye number mojawapo hapo juu2. Tuma text yako ya malipo kwenye number uliyoitumia pesa
3. Nyimbo inatumwa mara tatu kwa siku 0800 asub | 1200 mchana | 0600 jioni
Kwa maelezo zaidi piga number +255 719 796 186
Thursday, June 30, 2016
Dr Beny - Aje Cover (Ally Kiba) | Audio
Posted by NAOMIKADUMA On 11:54:00 AM
Unataarifa kwamba kunawatu wanauwezo wa kuimba Vocal za level za akina Ally kiba mikoani na hawatambuliki? kukudhihihirishia hili, Kutana na cover ya wimbo wa Ally Kiba Aje, ilofanywa na Mtangazaji wa kituo kimoja wapo cha radio, na mwanamuziki pia Dr Beny toka Njombe Tanzania. Pakua hapo chini kwa kubofya kitufe chekundu ili kuusikiliza.
KUUSIKILIZA ONLINE BOFYA HAPA CHINI KWENYE KITUFE CHA PLAY.
Wednesday, June 29, 2016
Nimekusogezea Wasifu wa Mwanamuziki Wa Hiphop Tz - Wakazi | Biography
Posted by NAOMIKADUMA On 6:59:00 PM
BIOGRAPHY
Wakazi started rapping at young age in Tanzania. In high school, he became popular with his performances during talent shows. He never took it seriously because of pressure from family to pursue other things. It was until he moved to Chicago in pursuit of the American Dream, where his love for Hip Hop was rejuvenated.
In a short period, the self proclaimed, “Bilingual Beast” has gone from Freestyling, recording demos, to performing in festivals, opening up for big acts like Ice Prince and 2face Idibia, and finally becoming a seasoned performer. He has evolved from a young child in the streets of Dar es Salaam, to a lyrical giant who sees nothing else than Work Ethic and Dedication as being the keys to success. After years of commitment and dedication to his craft, Wakazi is poised to become Tanzania’s leading Ambassador in Africa and in the Music World.
His signature Blend of English and Swahili rhymes caused him to be dubbed the “Bilingual Beast”, but his ability to tell a story and clever use of wordplay and metaphors, seem to be his real Strength. His ability to create context for the listeners is unparalleled, and he credits that to his personal life experiences as well as his imaginative part of the brain, which is sometimes more vivid than life itself.
Wakazi believes he has something to prove to first Tanzania, and then the rest of Africa, that he deserves a spot among the Best. With the release of Five Mixtapes (MYU: The Trilogy, Utatu Mtakatifu, Live From Stakishari) in the past 3 years, “Abacus EP” and his debut Album “Kisimani LP” slated to drop soon, Wakazi has set the platform with which his dreams could be fulfilled. The sky is the limit for this TZee Emcee.
Accomplishments
• Nominated for the 2016 Kora Awards as “Best Hip Hop Act in Africa”.
• Performed in Lilongwe, Malawi in November 2015 at the Bball Kitaa Inter-Country Competition.
• Released his fifth Mixtape Live From Stakishari in March 2015.
• Performed alongside Davido, Chidinma, Tiwa Savage, Mario Winans, & Praiz in Lagos, Nigeria at the MTN Big Rave Show in February 2014.
• The Only Tanzanian Artist to perform at the Industry Nite in Lagos Nigeria.
• Performed with Temi Dollface in the Beat99FM Showcase at the Social Media Week Event in Lagos.
• Released a highly anticipated EP titled ABACUS in January 2013.
• Released his fourth Mixtape titled MYU: The Trinity in October 2013.
• Winner of "Best Music Video of The Year" in the AFRO ENTERTAINMENT AWARDS in Chicago for Weekend Video w/ Reezon (Ghana) & Chibbz (Nigeria).
• TOUCH was Number 9 on the Top 100 songs of 2013 by TIMES FM.
• Nominated for "The Best Video of the Year" at the AFRO ENTERTAINMENT AWARDS in Chicago
• Represented Tanzania as the 2013 Artist on the Big Brother Africa. Performed on The Chase Eviction show on July 7th and was watched by over 60 Million viewers.
• Featured in the song “Weekend” alongside Reezon (Ghana) and Chibbz (Nigeria), a smash hit that is getting airplay across Africa.
• Opened Up for the biggest African Acts like Iyanya, J Martins, 2face Idibia, Samklef, Jesse Jagz, Profesa Jay, Mercy Myra, Fuse ODG, Jose Chameleone, Lady Jaydee and Fid Q.
• Performed with Ice Prince at the House of Blues during the “United Sounds of Africa” Tour in the United States.
• Has been featured in various Tanzanian, Nigerian and Ghanaian Media outlets (Bongo5, TayoTV, GhanaMixtape, Naijamayor) as one of the “Best New Emcees” from Africa.
• Wrote and performed in the song “Proud To Be” by AACUSA, a song that promotes African Pride and Unity among Diaspora Artists.
• A Part of AACUSA (African Artist Coalition USA), a Diaspora group which features artists from Tanzania, Sierra Leone, Nigeria, Kenya, South Sudan, Zambia & Ghana.
• Performed at the REPRESENT AFRICA showcase at the Shrine in Chicago.
• Performed at the 2011 Afro Entertainment Awards held in Chicago.
• Performed at the 2011 Afro Caribbean Festival in Chicago.
• Performed at the 2010 African World Festival in Detroit.
Tuesday, June 28, 2016
Mabantu - Chapa Twende I Video
Posted by NAOMIKADUMA On 6:29:00 PM
Song Name/Jina la Nyimbo: Chapa Twende
Artist Name/Jina la Msanii: Mabantu
Genre/Aina ya Nyimbo: Bongo Flavour
Directed/Mwongozaji: O-KEY GHETTOCHILD.
Producer/Mtengenezaji: OSCYBOY MNYAMA .
Studio: CITY MUSIC RECORDS.
Monday, June 27, 2016
2n Mkulima Bishow - Sinema Remix /Audio
Posted by NAOMIKADUMA On 1:13:00 AM
MWANA MUZIKI TUEN LWILLA, MAARUFU KWA JINA LA 2N MKULIMA BISHOW, AMEREJEA RASMI NA WIMBO WAKE MPYA ALIO URUDIA TENA KWA JINA LA SINEMA. WIMBO HUO UMEFANYIKIA STUDIO ZA CHRISS REC ZILIZOKO MAFINGA IRINGA, CHINI YA PRODUCER FIDE. UMEACHIWA RASMI TANGU TAREHE 27/06/2016. PIA KWA UPANDE MWINGINE 2N AMESEMA YUPO KATIKA MAANDALIZI MAZITO YAKUANDAA ALBUM YAKE AMBAYO ANATARAJI IACHIA MWAKA HUU. KWA MAWASILIANO ZAIDI NA 2N UNAWEZA MPATA HAPA 0769981278 KUUPAKUA WIMBO HUU BOFYA HAPA >>>
Sunday, February 14, 2016
GAMI DEE - TWENDE WOTE ( New Audio )
Posted by NAOMIKADUMA On 12:34:00 PM
Friday, February 12, 2016
Subscribe to:
Posts (Atom)





























