KITAA SHOP |Bofya Picha Kutembelea Kitaa Shop

Friday, October 31, 2014

JCB - MTOTO MKALI (New Song from JCB Comming Soon

HIVI PUNDE MSANII JCB MAKALLA TOKA ARUSHA, ANATARAJI TUA MTAANI NA MZIGO MPYA UTAKAO KWENDA KWA JINA LA MTOTO MKALI, CHINI YA PRODUCER DAZ NALEDGE TOKA WATENGWA RECORDS. WIMBOO HUU UNAZUNGUMZIA MAPENZ. USIKAE MBALI NA UKURASA WETU PUNDE UTAKAPO ACHIWA RASMI UTAUPATA HAPA HAPA. KARIBU.....

ANGEL BENARD - SHUJAA ( New Audio )

Huu ni wimbo wa pili kutoka album mpya NEW DAY kutoka kwa Angel Benard - wimbo unaitwa SHUJAA.  SHUJAA. Kuna wakati katika maisha tunakutana na mambo magumu na hakuna wa kukutia moyo, kwa sababu wengi waliotuzunguka ni watu ambao mara nyingi hufurahi tunapoumia. Huu ni wimbo ambao mtu...

HISIA - GIMME A CALL - (New Audio)

Mshiriki wa Tusker Project Fame HISIA anakuja na kibao chake kipya GIMME A CALL ambacho amemshirikisha producer John Blass kutoka Grand Master Records. Hisia mwenye kipaji cha vocals ameonesha uwezo wake mkubwa katika hii track iliyopo katika miondoko ya Afro Soul. Wimbo ulitambulishwa rasmi katika...

Friday, October 24, 2014

ANGEL BENARD - NEED YOU TO RAIGN ( New Audio )

Episode 01: NEED YOU TO REIGN by ANGEL BENARD Wimbo wa kwanza katika album ya NEW DAY kutoka kwa ANGEL BENARD "Need you to reign" ni wimbo unaomuomba Mungu awepo katika maisha yake na amuongoze katika kila jambo. Wimbo huu umerekodiwa Mujwahuki Studios chini ya Producer Mujwahuki mwenyewe. Producer...

MWANA FA FT ALIKIBA - KIBOKO YANGU ( New Audio )

Sote tumeusubiri kwa hamu na sasa wimbo mpya kabisa wa Mwana FA na Alikiba umewasili rasmi. Baada ya Mwana FA kutoa wimbo wa Mfalme live katika tuzo za KTMA 2014 msanii huyu ameungana na mfalme wa bongo flava yaani Alikiba ili kuwaletea mashabiki wake kazi nyingine kali. Producer wa wimbo huu si...

DENNIS DRAZZY - CHEZA ( New Audio )

CHEZA is a song performed and written by a young Upcoming artist from Tanzania, Dennis Drazzy (22) who does Rap with a twist. The song which is recorded and mastered at Hebron Studios and mixes elements of House music, pop and rap all in one resulting to a Rap House genre and is from the...

MAD ICE - EVERYTHING I DO ( New Audio )

Mad Ice ni msanii aliyezaliwa nchini Uganda na kuishi Tanzania kwa muda mrefu ambapo aliaanza rasmi kazi yake ya muziki na kutoa albam yake ya utmbulisho iitwayo BABY GAL (2003, Chini ya Miikka Mwamba). Msanii huyu wa Afro-Soul baada ya album hiyo alihamia nchini Finland ambapo aliendeleza kazi pamoja...

TIZAMA PICHA 5 ZA UJIO WA MAD ICE NA TOKA MOJA YA STUDIO KUBWA DUNIANI ( Up Date Info )

Mwanamuziki Mad Ice amerudi Tanzania kutoka nchini Finland ambapo ametoka kurekodi single yake mpya EVERYTHING I DO chini ya producer DJ Hermanni kwenye studio ya kimataifa ya Sonic Pump Studios (http://www.sonicpumpstudios.com/). Mara nyingine huwa inatosha kuangalia mandhari ya...

ANGEL BENARD - 10 SONGS 10 WEEKS ( UpDate Info )

ANGEL BENARD ni jina ambalo limekuwa likisikika kwa miaka kadhaa sasa kwenye ulimwengu wa muziki wa gospel. Angel Benard mwenye miaka 25 hatimaye sasa anaachia album yake NEW DAY kwenye mfumo wa digitali kupitia Mkito.com. Watu wengi wamekuwa wakisubiri kusikia nyimbo zake za zamani lakini haikuwa...

HISIA - MAWAZO ( Vocal of New Audio )

Msanii Hisia ambaye aliiwakilisha vyema sana nchi yetu katika mashindano ya Tusker Project Fame mwaka jana anakaribia kuachia wimbo wake mpya uitwao GIVE ME A CALL hapo tarehe 25 Octoba katika show ya live. Katika kuusubiri wimbo huo tujikumbushe track yake ambayo imeshika chati nchini Kenya kwa...

BRAND NEW MKUBWA NA WANAWE - INOOH (Audio)

Wimbo mpya kutoka kwa Mkubwa na Wanawe ambao ni kati ya nyimbo zilizopo kwenye collection ya NISEME. Wimbo huu inaitwa INOOH. Mkubwa na Wanawe ni wansanii ambao kwa muda mfupi sana wameweza kuonekana katika majukwaa makubwa na kuwa na mafanikio makubwa sana kimuziki wakiwa chini ya usimamizi wa Mkubwa...

Thursday, October 16, 2014

JOETT FT G FULLAH & LEVEL ONE - I'm gonna live forever ( New Audio )

PRESS RELEASE Joett Aachia Singo Mpya Akishirikisha Wasanii wa Bongo Flava G Fullah na Level One Mwalimu wa kuimba na msanii wa ku-rekodi miondoko ya pop – Joett, anaachia singo yake mpya I’m Gonna Live Forever Octoba 13 2014, ambayo amewashirikisha wasanii wa bongo flava G Fullah na kundi la...

Sunday, October 12, 2014

LIL STIGGAR - MIXTAPE ( RISE AND SHINE )

MSANII MKALI WAMIONDOKO YA HIPHOP KWA AKINA DADA TOKA MBEYA - TANZANIA SASA KATUA NA MIX TAPE YAKE MTAAN IITWAYO RISE AND SHINE (VIDEO). MWANADADA HUYU AMBAYE KWASASA ANAJULIKANA KWA JINA LA LIL STIGGAR AKA QUEEN OF HIPHOP AMEJIZOLEA SAANA UMAARUFU HIVI KARIBUNI BAADA YA NYIMBO YAKE INAYOKWENDA KWA...

HABARI NJEMA KWA WANAMUZIKI WOTE TANZANIA. ( Up Date Info )

Habari, Tunayofuraha ya kukukaribisha kuanza kutumia Widget mpya ya Mkito.com kwaajili ya kuuza nyimbo zako kwa wasanii wote Tanzania. Tofauti na Widget za Hulkshare na SoundCloud, kwa kutumia widget ya Mkito.com utalipwa kwa kila download itakayo pitia katika blog yetu. Malipo ni kama ifuatayvo: Msanii...

Saturday, October 11, 2014

KHALID CHOKORAA FT MSAGA SUMU - MANENO ( New Audio )

Msanii Khalid Chokoraa ambaye pia ni bondia wa kulipwa anakuletea track yake mpya Maneno amabapo amemshirikisha mzee wa Kigodoro a.k.a Msaga Sumu. Hii ni colabo ambayo siyo ya kawaida lakini matokeo yake yamekuwa ni mazuri kupindukia. Download wimbo mpya sasa. ...

Tuesday, October 7, 2014

Wednesday, October 1, 2014

LIL STIGGAR FT QUEEN DARLEEN & NASH DESIGNER - ANATAFUTA KICK ( NEW AUDIO Comming Soon )

UJIO MPYA WA MWANADADA LIL STIGGAR - MKALI WA MIONDOKO YA HIP HOP KWA WANADADA, MIKOA YAKUSINI, MASAA MACHACHE BAADAE ANATARAJI TUA MTAANI NA TRACK YAKE MPYA IITWAYO "ANATAFUTA KICK" ALOMSHIRIKISHA Queen Darleen & Nash Designer INAYOTARAJIWA FANYA MAPINDUZI ZAID YA TRACK YAKE YASASA AMBAYO INACHEZWA...