KITAA SHOP |Bofya Picha Kutembelea Kitaa Shop

Sunday, March 9, 2014

MKULIMA COLLEGE - Tamthilia Toka Alama Xp Production. !!!COMMING SOON!!!

TAMTHILIA ILIO TENGENEZEA MAZINGIRA YA IRINGA INAKUJIA HIVI PUNDE TOKA ALAMA XP PRODUCTION (Dr Tenya Brown) INAFUNDISHA, INAELIMISHA, INABURUDISHA, INASISIMU NA PIA IMETAWALIWA NA UHALISIA WA MAZINGIRA YA MTANZANIA. (Mama Matha - Mafinga) Pichani.
MOJA YA LOCATION ZILIZOPO KWENYE TAMTHILIA HIO. (Dogo Scopy aka Fresh Andy Akiwa Location Pia)

TIZAMA TRAILER YA TAMTHILIA YA MKULIMA HAPA.

KOMEDI MPYA TOKA MAFINGA (Alama Xp Production) -MWAGITO

COMEDY MPYA TOKA MAFINGA IRINGA CHINI YA ALAMA XP  PRODUCTION Dr (Tenya Brown ) IITWAYO MWAGITO. BONGE MOJA COMEDY INAYOCHEKESHA NA KUFUNDISHA PIA. HIVI PUNDE ITAANZA TUA MTAANI KWA BEI PWAAA KABISAAA.

TAYARI NAKALA ZISHAANZA FOTOLEWA. ANDAA TSH 5000 TU KUPATA NAKALA YAKO. KWA MAONI USHAURI NA KUHITAJI BEI ZA JUMLA, CHUKUA NAMBA KWENYE POSTERS HAPO JUU AMA TUTUMIE HAPA selengakaduma@gmail.com

SIDE BALLO - JICHUNGE

SIDE BALLO NI ARTIST MPYA IRINGA TOWN KATIKA GEMU YA MUSIKI, AMBAE KWASASA ANADHAMINIWA NA UONGOZI WA MIALE SANAA GROUP ULIOPO CHINI YA KHAMIS NURDIN. VIDEO HII NI VIDEO ZA MWANZO KABISA KUFANYWA NA REBIRTH CORPORATION- CHINI YA KAGUSA aliekua kazoeleka kwenye Audio Production. Chungulia Video Hio taaaaam hapa.

Sunday, March 2, 2014

LONKA KUINGIA KATIKA KINYANG'ANYIRO CHA TUZO ZA KTMA 2014

LONKA NI ARTIST TOKA IRINGA ANAEFANYA VIZURI SAANA KATIKA TASNIA YA MUSIC DAR NA TANZANIA KWA UJUMLA. HII IMEDHIHIRIKA BAADA YA KUPATA CHANCE YA KUINGIA KWENYE NOMINATION ZA TUZO ZA KILL MUSIC AWARDS MWAKA 2014, KWA KUINGIA NA WIMBA WA HAKUNA MATATA KAMA WIMBO BORA WA RAGGAE. HIVYO MDAU UNAOMBWA SAANA SUPPORT YAKO KATIKA KUMPIGIA KURA MSANII HUYU ILI AWEZE KUTUWAKILISHA VYEMA NYANDA ZA JUU KUSINI KATIKA RAGGAE. KUMPIGIA KURA ANDIKA 04 LONKA HAKUNA MATATA THE TUMA KWENDA NAMBA 15440 KWA NJIA YA SIMU. AU WAWEZA TEMBELEA www.kilitime.co.tz/ktma

Saturday, March 1, 2014

La - Parte JIONEE MWENYEWE NIGHT CLUB BORA NYANDA ZA JUU KUSINI NA TANZANIA KWA UJUMLA.

Hii ndio Night Club Bora kwa sasa Tanzania Inayopatikana Iringa, Ambayo Imezinduliwa Rasmi tar 14/02/2014 Siku ijulikanayo kama Valentine Day. Club Hii tangu izinduliwe na Kuanza kazi Rasmi Imejizolea Umaarufu Mkubwa kutoka kwa wadau na Raia Mbalimbali.
Huu ndio Muonekano wa Nje wa club La - Parte Ambayo Ipo Chini ya Ebony Entertainment, Inayomilikiwa Na Mr Mfugale.
Hapa Ndio Lango la kuingilia ndani ya Club Hio. Twende Ndani Ukajionee mwenyewe.
Hii ndio sehemu ya kwanza na Counter ya kwanza unapoingia tu kati ya Tatu zilizomo ndani Humo. Aibu Manzeeeee.
Wakati nilipo pata nafasi ya Kuitembelea, ndipo nilipo Data na Counter hio na kuamua japo tokelezea tuu kwa mbele hata kama nlishindwa kalia vizuri sturi za humo ndani Pengine Yawezakana ilikua kuduwaa tuu.
Hii ni moja ya Kumbi zilizomo humo ndani ambayo pia Ilinidatisha kwa kua na sakafu ya Kioo kama Unapoiona hapo na yenye taa kwa Chini. Kufuru Aiseeeee, Nlibaki nimeduwaaaaa coz nimezoea kuona vioo madirishani na sio sakafuni.
Upekuzi haukuishia hapo tuu niliingia mpaka maliwatoni kujionea mwenyewe, Huku nako ilikua balaa tuu kama unavyoona, Bombazakunawa mikono hazina koki, ila ukisogeza tuu mikono zinatoa maji, na utakapotoa mikono zinakata zenyewe. TV Flat Screen Ipo pia mpaka chooni, Zaidi tembelea mwenyewe kajionee.
Baada ya hapo nlipata time ya kutembezwa kumbi nyingine ya ghorofan Ambayo ni Red Carpet.
Hapa nlikua ngazini nilielekea Ukumbi wa ghorofani ambao ni Red Carpet.
Manzee, Sikuamini machoyangu nilio yaona Huko. Kweli Ilikua Red Carpet na Kuna Kaunter nyingine pia, projector na TV Kubwa Flat screen.
Burudani pia kama kawa zipo wanapiga mpaka Live Band, Nilikutana na Drums humo humo nikaamua tokelezeaa nayo. Kuyasadiki haya Tembelea Mwenyewe kajionee na sio kusimuliwa, kama nlivyo tembelea mwenyewe. Nimeingia Club Nyingi lakini hii ni  Funiko. Shukrani Ziwaende Mmiliki wa club Ndugu Mfugale, Ebony Entertainment, Emmo Da Pro' Pamoja na Eddo Bashir kwa kuweza nifanikishia Jionea maajabu haya. Kwa maoni Ushauri karibu hapa selengakaduma@gmail.com

BIG JOFF, RASCO J, & JESSEY - TROUBLE

TOKA BATU MUSIC IRINGA, ARTIST WATATU WASIMAMA NA KUFANYA TRACK MOJA INAYOKWENDA KWA JINA LA TROUBLE, CHINI YA  PRODUCER GERALD, ARTISI HAO NI BIG JOFF, RASCO J NA JESSEY. BIG UP KWAO KWAKUA NI KAZI NZURI SAANA. WANAOMBA SUPPORT YENU KAMA WADAU. KWA MAONI ZAIDI UNAWEZA KUTUTUMIA HAPA selengakaduma@gmail.com

Friday, February 28, 2014

Saturday, February 15, 2014

NELLY BE FT MAC,CLOUDY 9,MKWAWA SILE, - LOVE

TRACK Inaitwa LOVE, na Imesimamiwa na NELLY CALOCY MSAMILLA Katika Music Industries natumia Jina La NELLY BE Pia Mimi ni Mwandaaji na Mtangazaji wa Vipindi Vya Burudani na Music Director/Music Manager NURU FM Iringa Tanzania  , Ni Wimbo Unao Husu Maswala ya Wapendanao. Ni Wimbo Ambao Unatoka Katika Mixtape na Albamu ya B.M.B..Naomba Sapoti yenu , Huu Ni Mwanzo Tu nimeanza na Upcoming Artst Track ya Pili Itahusisha Mastaa wakubwa.

Humo Ndani yupo NELLY BE FT MAC,CLOUDY 9,MKWAWA SILE, _LOVE Ni Zawadi ya VALENTINE

Saturday, February 8, 2014

Thursday, January 30, 2014

DEE GOZBA ft VEDASTO - KAMA WEWE

Dee Gozba, Artist Mchanga anae kuja kwa kasi, toka Mikoa ya nyanda za Juu Kusini, akiiwakilisha Mafinga. Akiwa kama Mdogoake na Jay Mutta anakuja, na Track iitwayo Kama Wewe, alio mshirikisha Vedasto. Kwasasa Yupo Dar es salaam Kimasomo zaidi But anaomba msaada wenu wadau kwa maoni Ushauri kwenye tasnia ya Music ili aweze fika mbali. Zaidi skiliza nyimboyake hio mpya Hapa chin

Wednesday, January 29, 2014

NAS WAKITAA FT CHIBWA - MONEY ON MA MIND

Anajulikana kama Nas Wakitaa, Huku jina lake halisi likiwa Nasibu Luvanda, Tokea Mafinga Iringa, Ingawa kwa sasa Husling anafanyia Dar, Amekuja na Traki Mpya Ijulikanayo kama MONEY ON MA MIND Ambayo kamshirikisha CHIBWA. Anaomba saana Support yako Mdau kama. Zaidi chungulia Track yake hapa.

JOVIARY FT BENADO - USINIWEKEE HILA

Joviary ni Artist Anaetokea mbaye anakuja, kwa kasi zaidi kwenye gem na nyimboyake Iitwayo USINIWEKEE HILA Chini ya Tabasam Music. Amejaliwa kua na sauti nzuri, ni mwenye kipaji kuanzia utunzi mashairi mpaka Vocal. Mtaani kaanza na kazi hii kama kaziyake ya kwanza, Na mpaka leo ana kazi nyingine Mpya inayokuja, baada ya hii, Anaomba Saana Msaada wako, wa mawazo, Maoni, Ushauri na Ikiwezekana management. Week Hii Mwishon atakua Mafinga kufanya Video ya wimbowake mwengine Mpya Kwa Ofa Maalum Kutoka Alama Xp Video Production. Unataka Jua zaidi juu ya Artist Huyu Mpya Toka Mbeya? Uscose tembelea hapa mara kwa mara Kila kitu utakipata.


Sunday, January 26, 2014

Sunday, January 5, 2014