KITAA SHOP |Bofya Picha Kutembelea Kitaa Shop

Sunday, October 12, 2014

LIL STIGGAR - MIXTAPE ( RISE AND SHINE )

MSANII MKALI WAMIONDOKO YA HIPHOP KWA AKINA DADA TOKA MBEYA - TANZANIA SASA KATUA NA MIX TAPE YAKE MTAAN IITWAYO RISE AND SHINE (VIDEO). MWANADADA HUYU AMBAYE KWASASA ANAJULIKANA KWA JINA LA LIL STIGGAR AKA QUEEN OF HIPHOP AMEJIZOLEA SAANA UMAARUFU HIVI KARIBUNI BAADA YA NYIMBO YAKE INAYOKWENDA KWA JINA LA "YES I CAN" KUANZA CHEZWA MPAKA MOJA YA VITUO VIKUBWA VYA TV DUNIANI MTV BASE. KWASASA PIA ANATAMBA NA KIBAOCHAKE KIPYA MTAANI KIJULIKANACHO NKAMA "NATAFUTA KIKI",ALICHO MSHIRIKISHA QUEEN DARLIN & NASH DESIGNER, NA KINGINE KIITWACO "LIKE". KUIPATA MIX TAPE HIO WASILIANA NA NAMBA HII POPOTE ULIPO 0654079930 KUIPATA KWA TSH 5000/- TU.

HABARI NJEMA KWA WANAMUZIKI WOTE TANZANIA. ( Up Date Info )

Habari, Tunayofuraha ya kukukaribisha kuanza kutumia Widget mpya ya Mkito.com kwaajili ya kuuza nyimbo zako kwa wasanii wote Tanzania. Tofauti na Widget za Hulkshare na SoundCloud, kwa kutumia widget ya Mkito.com utalipwa kwa kila download itakayo pitia katika blog yetu. Malipo ni kama ifuatayvo: Msanii = 60% Mkito.com = 32% Blogger = 8% Jumla = 100% Blog yako hii ya selengakaduma, imeamua jiunga rasmi na mtandao huu wa Mkito.com kuanzia tar 11/10/2014 ili kuweza kuwanufaisha zaidi wasanii kwa kazi zao wanazo fanya,kwa kila Download itakayofanyika ya wimbo wake utakao kua katika mtandao wetu. Malipo yamezingatia zaidi maslahi ya msanii, kama ulivyoweza ona mpangilio wamalipo hapo juu. Kwa maoni na ushauri,zaidi waweza tembelea mtandao wa mkito.com ama 0767 769 921 au tuandikie kupitia info@mkito.com USIPOTEZE BAHATI HII KAMA MWANAMUZIKI, KUWA WAKWANZA KUNUFAIKA NA KAZI ZAKO. ASANTE KWAKUTEMBELEA UKURASA WETU. NA KARIBU TENA.

Saturday, October 11, 2014

KHALID CHOKORAA FT MSAGA SUMU - MANENO ( New Audio )

Msanii Khalid Chokoraa ambaye pia ni bondia wa kulipwa anakuletea track yake mpya Maneno amabapo amemshirikisha mzee wa Kigodoro a.k.a Msaga Sumu. Hii ni colabo ambayo siyo ya kawaida lakini matokeo yake yamekuwa ni mazuri kupindukia. Download wimbo mpya sasa.

Tuesday, October 7, 2014

Wednesday, October 1, 2014

LIL STIGGAR FT QUEEN DARLEEN & NASH DESIGNER - ANATAFUTA KICK ( NEW AUDIO Comming Soon )


UJIO MPYA WA MWANADADA LIL STIGGAR - MKALI WA MIONDOKO YA HIP HOP KWA WANADADA, MIKOA YAKUSINI, MASAA MACHACHE BAADAE ANATARAJI TUA MTAANI NA TRACK YAKE MPYA IITWAYO "ANATAFUTA KICK" ALOMSHIRIKISHA Queen Darleen & Nash Designer INAYOTARAJIWA FANYA MAPINDUZI ZAID YA TRACK YAKE YASASA AMBAYO INACHEZWA MPAKA MTV BASE. KAMA WADAU ANAOMBA SUPPORT YENU SOON ITAKAVYO TUA MTAANI TRACK HIO. ZAIDI ITAPATIKANA HAPA HAPA, USISITE KUTEMBELEA UKURASA WETU KUIPATA TRACK HIO.

Sunday, September 28, 2014

TEL OMAINO FT KAUYE - BADO NIPO NAE ( PICHA ZA LOCATION )

Artist: Tel Omaino ft. Kauye Production: 29Record/ Suly Director: Timmy San Timmy Production Video coming soon Video imefanyika mbezi beach Dar es Salaam na baadhi ya vipande vimechukuliwa maasai club. kinondoni MAPICHA YA LOCATION, VIDEO NJIAN COMMING SOON. MTAISOMA HAPA HAPA WADAU.





















HII HAPA CHINI NI AUDIO INAYOFANYIWA VIDEO HIO.

Sunday, September 21, 2014

MJUE MSHINDI SUPER NYOTA IRINGA 2014 ( UP DATE INFO )

SHINDANO LAKUSAKA VIPAJI VYA WASANII WAMUZIKI WA KIZAZI KIPYA, AMBALO HUA LINADHAMINIWA NA SERENGETI FIESTA KILA MWAKA. LIMEWEZA MUIBUA MWANADADA ATTU MC KAMA MSHINDI WA SUPPER NYOTA IRINGA AMBAE ATAKWENDA UWAKILISHA MKOA WETU IRINGA DAR KWA KUMSAKA MSHIND SUPER NYOTA NCHI NZIMA. MOJA YA OFFA ATAKAZOPATA MSHINDI KATIKA GRAND FINAL DAR ATAFANYA TRACK MOJA BURE ( AUDIO NA VIDEO ) COLLABLE NA DIAMOND PLATNUMZ. BIG UP ATTU, TUNAKUTAKIA UWAKILISHI MWEMA KWENYE GRAND FINAL DAR. LINI NA ITAKUAJE UTAJUZWA HAPA HAPA KUPITIA UKURASA WETU HUU.

Saturday, September 20, 2014

Sunday, September 14, 2014

POISON FT STAMINA & KENNY - MNIPOKEE ( NEW AUDIO )

Song - mnipokee Arts - Poison ft Stamina & keenny Producer - Vennt skillz Kwanza Records: Ni msanii mdogo sana ki umri, anautwa Immanuel maarufu poison. Hii ngoma uake ya kwanza amemshirikisha stamina na Mkali wa R $ B Morogoro Kenny. Anaishi katika mazingira magumu sana kwa kweli, anahitaji sana msaada wa wadau ili aweze kufikia malengo yake. Ukiwa kama mdau tunakuomba kumsaidia katika hili. Wasiliana nami Ahmadi Machaku: 0717b 51 96 52 Adili Omari :0719 926 957 Producer Vennt:0653 361 070 Ao watu wamejitolea kumsapot.

Monday, September 8, 2014

Friday, September 5, 2014

Tuesday, September 2, 2014

LONKA - BEAUTIFUL SMILE ( NEW VIDEO - comming soon )

Baada ya Video ya Hakuna Matata, Lonka Msanii toka Iringa, ambae kwasasa yupo dar es salaam kwa mahangaiko yakimaisha, anataraji ingi amtaani na video mpya itakayokwenda kwa jina la BEAUTIFUL SMILE Ilofanyika Dar chini ya Director, Jackson Joachim. Lonka anawaomba wadau wote wamuziki Tanzania na mashabiki kumpa support soon video itakapo dondoka mtaani. Mdawowote kuanzia sasa itaanza patikana hapa hapa kwa blog gii. Support ndo kila kituuuu.

Wednesday, August 27, 2014

Tuesday, August 26, 2014

Sunday, August 24, 2014