KITAA SHOP |Bofya Picha Kutembelea Kitaa Shop

Saturday, May 10, 2014

Sunday, May 4, 2014

EMMANUEL KADUMA - KATIBA (NEW VIDEO)

EMMANUEL KADUMA NI MWIMBAJI NA MTAYARISHAJI YA MUSIKI ANAE MILIKI STUDIO KUBWA ZAIDI NYANDA ZA JUU KUSINI INAYO TENGENEZA MUSIKI WA SAUTI ILIOPO IRINGA.
EMMANUEL KADUMA, KAJA NA WIMBO ULOKUA UKISUBIRIWA KWAHAMU SAANA NA WATANZANIA UITWAO KATIBA. WIMBO HUO UMEZUNGUMZIA MCHAKATO WA UTAYARISHAJI WA KATIBA YA NCHI YE TANZANIA AMBAO BADO UNAENDELEA MPAKA ASASA. PIA KAZUNGUMZIA UMUHIMU WA BUNGE LA KATIBA KUUNGANA NAKUA NAMSHIKAMANO KATIKA KUTAYARISHA KATIBA MPYA.
VIDEO YA WIMBO HUU IMEFANYWA NA DIRECTOR NICLASS CHINI YA  EMAGINATION IRINGA,TANZANIA. KUTIZAMA VIDEO HIO, TEMBELEA NA BOFYA HAPA CHINI.

Monday, April 21, 2014

TINO MAFIA FT JOVIARY, DAYO, NEST WEST, FANCY - BULU BULU (NEW AUDIO)


MZIGO MPYA TOKA MBEYA KWA TINO MAFIA AKIWA KAWASHIRIKISHA, ARTIST WA MBEYA PIA AMBAO NI JOVIARY, NEST WEST, FANCY, NA DAYO. BONBE MOJA MZIGO. UMEREKODIWA MASHADA INC NA PRODUCER TINNO MAFIA AKIWA NA DAYO. WANAOMBA SUPPORT YAKO MDAU. BIG UP KWAO PIA.

Friday, April 18, 2014

ARTIST WA KUSINI SASA KUPIGA SHOW MPAKA DAR. (UPDATE INFO)

DEE GOSBA ARTIST TOKA MAFINGA IRINGA MWENYE WIMBO MKALI UJULIKANAO KWA JINA LA KAMA WEWE AMEPATA SHAVU LA KUPIGA SHOW SKUKUU YA PASAKA GADAFI SQUARE, YOMBO BUZA. SHOW HIO INATARAJI FANYIKA JUMAPILI YA TAREHE 20/04 MWAKA HUU.

HILI NDIO TANGAZO LA SHOW YAO.

TANANZIA TO NIGERIA KEVOO HARD FEAT T MOST FROM NIGERIA (UPDATE INFO)

KEVOO HARD ARTIST TOKA IRINGA AKIWA NA MWANADADA T MOST TOKA NIGERIA AMBAE ANASADIKIKA KUA ASHA FANYA NAE TRACK HIO.

HIZI NI BAADH YA STATUS ZILIZOTUPWA INSTAGRAM KUTHIBITISHA HILO.


Kutokana na sasa wasanii tunaitaji sana kufanya music kimataifa Mimi nimeamua kuanza na Nigeria yote kufikisha kazi zangu mbali zaidi Kevoo hard Feat Tmost from nigeria coming soon.

WITNESS MWAIJAGA KAINGIZA DVD YA NYIMBO ZAKE 12 MTAANI. (VIDEO)

WITNESS MWAIJAGA MZAWA WA TUKUYU MBEYA, KATANGAZA KUPATIKANA KWA DVD YAKE YENYE NYIMBO ZAKE 12 KWA BEI NAFUU. WITNESS NI MMOJA KATI YA WANADADA WAKALI SAANA KATIKA MUZIKI WA MIONDOKO YA HIPHOP TANZANIA, AMBAE ALIWEZA DHIHIRISHA TANGU KWENYE MASHINDANO YA COCACOLA POP STAR YALOFANYIKIA SOUTH AFRICA MWAKA 2004, AKIWA NI MMOJA WA WANAKUNDI LA WAKILISHA LIKIWA NA LANGA (MAREHEMU), SHAA, NA YEYE WITNESS WAKIWAKILISHA TANZANIA. DVD HIO IMEBEBA WIMBO KAMA HOI YA ENZI ZA WAKILISHA, ZERO AMBAYO KAMSHIRIKISHA FID Q, SAFARI, ATTENTION, NA KADHA WA KADHA. KUIPATA DVD HIO KWA BEI YA JUMLA NA REJAREJA WAWEZA MPATA WITNESS KWA NAMBA 0753320009 AU 0717757582. POPOTE ULIPO TANZANIA WASILIANA KUPATA COPY YAKO. MOJA YA VIDEO INAYOPATIKANA KWENYE DVD HIYO, ITAZAME HAPA BUREEE, http://youtu.be/Ofv1YkVP8-s

Monday, April 7, 2014

YALIOJIRI MAFINGA TAREHE 06/04/2014 (UP DATE INFO)

WANACHAMA WA FILAMU, MUZIKI, NA WAJASILIA MALI TOKA MAFINGA WAMEKUTANA TARE 06/04 2014 MAFINGA - MKOBWE KIKIWA NI KIKAO CHAO CHA PILI CHA KUPANGA MIKAKATI MBALIMBALI YA KUPAMBANA NA CHANGAMOTO ZA KIMAENDELEO KATIKA KILA TASNIA.
BLOGGER SELENGA KADUMA AKIWA NA WENYEVITI WA VIKUNDU, KATIKATI MWANZILISHI NA MWENYEKITI MKUU WA VIKUNDI VYOTE EDDO BASHIR, KUSHOTO TENYA BROW AKIWA MWENYEKITI WA MUDA KATIKA TASNIA YA FILAMU, CHINI KULIA FRESH ANDY AKA DOGO SCOPY KAMA MWENYEKITI WA MUDA WA WANA MUZIKI MAFINGA, NA CHINI KULIA NI BLAI KALINGA - MWENYEKITI WA MUDA WA WAJASIRIA MALI MAFINGA. MIMI PIA NI MMOJA WA WAJUMBE WA WAJASIRIA MALI.
PIA MKUTANO HUU ULIKWENDA SAMBAMBA NA KUGAZA ZAWADI YA SIM YA KISASA YENYE THAMANI YA Tsh 230,000 KWA MSHINDI SECHOLELA TOKA ITIMBO MAFINGA, KUTOKA SHINDANO LA RADIO EBONY FM LINALOENDWESHWA NA EDDO BASHIR KATIKA KIPINDI CHA ONE SIX SHOW KUANZIA JUMA TATU - IJUMAA SAA 12 JION MPAKA SAA 03 USIKU.

HAPA NIKIWA NA MSHINDI WA SIM SECHOLELA KATIKA KIKAO CHETU MAFINGA. NAFASI YA KUJIUNGA BADO IPO WAHI KWAKUA TAR 13/04/2014 ITAKUA NDIO SIKU YA MWISHO YA KUJIUNGA KWA MASHERTI YA SASA. BAADA YA HAPO MAMBO YATAKUA TOFAUTI KATIKA JIUNGA HAPO, AMBAPO TUNATARAJI KUKUTANA TENA KWA KIKAO CHA MARA YA TATU.



SECHOLELA AKIWA NA NA FURAHA BAADAA YA KUKABIDHIWA SIM YAKE MPYA KAMA MSHINDI WA MWEZI NA EDDO BASHIR. TUKUTANE TENA TAR 13 JUMAPILI IJAYO PALE PALE MKOMBWE KUANZIA SAA 06:00 MCHANA.

YALOJIRI TAMASHA LA TULIZANA IRINGA 05/04/2014 ( UPDATE EVENT)

MUZIKI ULIHUSIKA KWA ASILIMIA ZOTE. DJ AKIFANYA YAKE KWA MASHINE
EDDO BASHIR AKIWA NA FID Q KWA JUKWAA WAKIFANYA YAO.
EDDO BASHIR KAMA MC AKIWAWEKA SAWA MASHABIKI
SAMORA ILIFURIKA WATU KAMA UNAVYOONA HAPA INGAWA MVUA ILIHUSIKA PIA, LAKINI UMATI HAUKUJALI.
JUKWAA LA EBONY FM LILIHUSIKA KATIKA TAMASHA HILO.
TUKO WANGAPI? TULIZANA WALIKUA NA KAULIMBIU HIO.

Saturday, March 29, 2014

Dee Gozba on LOCATION. (UP DATE NEWS)

Up coming mkari toka Mafinga Iringa Tayari Kisha ingia Location Kufanya video ya track yake Kama wewe chini ya Alama Xp Production.

Video hio Imefanyiwa location Dar na Dr Tenya Brown wa Alama Xp Production. Punde inataraji Ingia Mtaa. Utakua wakwanza kujuzwa na kuiona hapa hapa punde itakapo toka, endapo kama utakua ukitemblea ukurasa wetu huu mara kwa mara. Hizi picha ni baadhi ya picha zilizopigwa toka lokation ya video hio.

Thursday, March 27, 2014

Emmo da pro - My Body (NEW AUDIO)

New New New and Classic Joint from artist : Emmo Da Pro known as My Body, Noma saana hii Joint aisee. Kama hujapata time ya kuisikiliza ndo wakati wako sasa hapa hapa, kwenye ukurasa wetu. Iringa Stand Upppppppppppppppppppp. Sharaut kwa Emmo da pro kwa kuachia Joint ya moto na Next level kama hiii. Ukiisikiliza utaungana nami kwa niyasemayo. Support yako ndo kila kitu. KARIBU.

Mpili Square - Sina Dough (NEW VIDEO)

Mpili Square nia artist mpya toka iringa, kashuka na track iitwayo SINA DOUGH ilofanywa na Rebith corporation chini ya Dr Kagusa Adrew. Iringa na mikoa ya kusini inazidi kua siku hadi siku kwa sanaa ya muziki. Big Up Kagusa chini ya Rebith Corporation kwa video saafi. SUPPORT YAKO NDO KILA KITU MDAU.

Tuesday, March 25, 2014

SAMPAMBA ft MKWAWA, OB, GARDEE, RASCO J, CLOUD 9, JACK MEDIA, JOSH KILLER, MWENENDOX, MAC & MABAWA - KARIBU IRINGA (NEW AUDIO)


KARIBU IRINGA NI TRACK ILIYO FANYIKA CHINI YA SAMPAMBA MUIC INAYOZUNGUMZIA MJI WA IRINGA NA KUITANGAZA IRINGA DUNIANI KWOTE. TRACK HII WAMESHIRIKA WASANII ZAIDI YA 10 KAMA IFUATAVYO, SAMPAMBA ft MKWAWA, OB, GARDEE, RASCO J, CLOUD 9, JACK MEDIA, JOSH KILLER, MWENENDOX, MAC & MABAWA - KARIBU IRINGA

MWAGITO TOKA MAFINGA YATUA NJOMBE RASMI (COMMEDY)

Serious Comedy iliyofanyika Mafinga Chini ya Alama Xp Production sasa yaingia Mkoa mpya Njombe kwa bei ya 5000/- tu. Mi nisha daka nakala yangu tayar kama njia yakuunga mkono harakati za kuendeleza vipaji Mikoa ya kusini.

Masaa zaidi ya 02 yenye ujazo wa kutosha ndani ya CD Moja tu yatakufanya Ujifunze na kuburudika pia. Kama unahitaji nakala yako sasa Piga sim namba 0767 46 8484 or 0712 69 5805 au unaweza wasiliana nasi pia kupitia mail ya selengakaduma@gmail.com KUA MZALENDO ANZA NA NYUMBANI KWANZA KUKUUZA VIPAJI VYA WATOTO WA MIKOA YA KUSINI.

STANNA - The Best rapper from Mbeya, (News)

Add caption
Rapper mkali kwa miondoko ya Hip hop toka Mbeya na Mkali wao kama supper Nyota 2013 toka Mbeya, anaefanya vizuri zaidi saana katika Musi. Hayo yameweza dhihirika baada ya wasanii wakubwa kama Young D, Izzo B, Dully, Madee na wengine kibao kuonyesha kushtusha saana na uwezo wake kwenye gem na kumkubali pia, zaidi unaweza skiliza track iitwayo Rap, ili kujua uwezo wake zaidi. Punde anataraji tua na mzigo mpya. Hapa hapa utasomeka kama kawa.

Monday, March 24, 2014

Saturday, March 22, 2014