KITAA SHOP |Bofya Picha Kutembelea Kitaa Shop

Tuesday, March 25, 2014

STANNA - The Best rapper from Mbeya, (News)

Add caption
Rapper mkali kwa miondoko ya Hip hop toka Mbeya na Mkali wao kama supper Nyota 2013 toka Mbeya, anaefanya vizuri zaidi saana katika Musi. Hayo yameweza dhihirika baada ya wasanii wakubwa kama Young D, Izzo B, Dully, Madee na wengine kibao kuonyesha kushtusha saana na uwezo wake kwenye gem na kumkubali pia, zaidi unaweza skiliza track iitwayo Rap, ili kujua uwezo wake zaidi. Punde anataraji tua na mzigo mpya. Hapa hapa utasomeka kama kawa.

0 comments:

Post a Comment