KITAA SHOP |Bofya Picha Kutembelea Kitaa Shop

Sunday, January 5, 2014

HERI YA KRISMAS NA MWAKAMPYA/ PIA KUTIMIZA MWAKA 01 WA MTANDAO HUU KUWA HEWANI.

BLOG YENU YENU YA KIJANJA IMETIMIZA MWAKA MMOJA SASA RASMI TANGU ILIPO ACHIWA HEWANI, TAR 02/01/2013. SHUKRANI ZA DHATI ZIWAFIKIE  Tenya Brown, (blog launch designer and editor)  Emmo da Pro, ( blog advisor) Lusimiko Unyax Kaduma (Blog founder), Dogo Scopy (Blog advisor), James Mtalemwa (Blog Advisor), and Selenga Kaduma (Blog CEO/ Owner) Kama washauri na wahusika wakubwa kwa uwepo wa blog hii www.selengakaduma.blogspot.com , mpaka leo Inatimiza mwaka Mmoja sasa.Tunashukuru wadau kwa mani yenu na tunaomba zidi pewa maoni pale unapo huwishwa kufanya hivyo ili koboresha zaidi kwa tuyafanyayo. Karibuni.
KWANIABA YA WAENDESHA BLOG HII WOTE KAMA BLOG CEO, NAPENDA KUWATAKIA SIKUKU NJEMA YA KRISMAS NA MWAKAMPYA WADAU WOOTE WA SANAA, WANAHABARI, NDUGU, JAMAA, NA MARAFIKI. YESU AZALIWE MIOYONI MWENU UPYA, ASANTENI NYOTE.

0 comments:

Post a Comment