KITAA SHOP |Bofya Picha Kutembelea Kitaa Shop

Wednesday, November 26, 2014

Monday, November 24, 2014

JAY DEE FT DABO - FOREVER ( New Audio )


JAY DEE FT. DABO - FOREVER Pakua wimbo mpya kabisa kutoka kwa Lady Jay Dee na Dabo. Jay Dee amehama kidogo kutoka style yake ya kawaida ya Zouk Rhumba na kuimba wimbo huu katika style ya Reggae. Amemshirikisha mdogo wake Dabo ambaye ni mshindi wa tuzo ya KTMA best reggae artist wa Tanzania mwaka 2013.

PICHA MTIKISIKO 2014 - IRINGA ( Photos )

KAMA ULIPITWA NA SHOW YA MTIKISIKO 2014, ILIOFANYIKA UWANJA WA SAMORA IRINGA USIKU WA TAREHE 22/11 KUAMKIA SIKU YA TARE 23/11. UNGANA NASI HAPA KUONA KILICHOJIRI HUKO KWANJIA YA PICHA MNATO ZAIDI YA . SHOW HIO KUBWA INAYOFANYIKA NYANDA ZA JUU KUSINI KILA MWAKA MSIMU KAMA HUU, CHINI YA KITUO BORA CHA RADIO EBONY FM IRINGA. IMEKUA GUMZO SAANA KWA MIKOA YA NYANDA ZA JUU KUSINI KAMA SHUKRANI NA KUWAKUTANISHA WASIKILIZAJI WAKE WOTE WA MIKOA YA KUSINI PAMOJA, KWA KUPONGEZANA NAKUSHEREKEA. IMEKUA PIA IKIHUSISHA WANANII WAKUBWA MBALIMBALI TANZANIA, NA NJE YA TANZANIA. MFANO, WASANII WALOSHIRIKI KATIKA TAMASHA HILI BAADH, WALIKUA NI DIAMOND PLATNUMZ, KALA JEREMIA, T.I.D, LINEX, IZZO B, NAWENGINE WENGI, WAKISINDIKIZWA NA WASANII WACHANGA TOKA MIKOA YA KUSINI KAMA, MEDDA CLASSIC, OBBY, DEE GOSBA, MAC MC, NEMMY MC, NA WENGINE WENGI... ZAIDI ENDELEA TIZAMA MAPICHA HAPA CHINI....

IZZO B MTOTO WAMBEYA AKIFANYA YAKE.


KALA JEREMIAH PIA ALITISHA NAE

DJ NASS (kushoto) na EDDO BASHIR ( kulia ) WAKIAMSHA AMSHA KWA STAGE KAMA ILIVYO KAWAIDA YAO.

EDDO BASHIRI - ( mtangazaji Ebony FM ) AKIZIDI PAGAWAWISHA MASHABIKI, BAADA YA MIZUKA KUMPANDA.


MAMA LA MAMA AKIYARUDI JUKWAANI NAMIONDOKO YAPWANI

DIAMOND PLATNUMZ ALIEBEBWAJUU NA WACHEZAJI WAKE.


NAHUYU NDIO YULE MTOTO MEDDA CLASSIC ALIE MWANDIKIA BARUA DIAMOND, AKIWAKILISHA VYEMA.

T.I.D NAE HAKUA NYUMA KUONYESHA UKONGWE WAKE ALONAO KATIKA KIPAJI CHAKE CHAKUPAGAWISHA MASHABIKI.


Saturday, November 22, 2014

ANGEL BENARD - MIMI NA YESU ( New Audio )


ANGEL BENARD - MIMI NA YESU Wimbo wa 5 wiki ya 5 Kati ya Nyimbo 10 zinazotakiwa ingia mtaani. Ni wimbo unaoelezea jinsi ambavyo Mungu ni ukamilifu wa maisha ya mwanadamu. Na hivyo hakuna cha kuogopa wala wa kumuogopa humu duniani. Kila kitu kimetoka kwa Mungu, kinapatikana kwake na mwisho wa siku tuna kila sababu ya kutoogopa na kukiri kwa ujasiri kuwa yote yanapatikana kwake. LYRICS MI NA YESU VERSE1 Bwana ni ngome yangu, wimbo wangu milele, uuuu... Bwana ni mwamba wanguu, sitaogopa kamwe, yeeaahh.. Bwana ni wokovu wangu, utukufu wangu, Bwana ni nguvu zangu, nimwogope nani... -- Bwana ni wokovu wangu, utukufu wangu, Bwana ndiye nguvu zangu, nimwogope nani yeaahh uuu nimwogope nani*2 CHORUS Mi na yesu tu*3 milele*3 VERSE2: Bwana ni tumaini langu, kimbilio milele, mmhhh Bwana ni uzima wangu, msaada ulio tele, yeehh uu Bwana ni mchungaji wangu, ni pumzi yangu, Bwana ni utajiri wangu, mimi nimwogope nani Bwana ni mchungaji wangu, ndiye pumzi yangu, Bwana ni utajiri wangu, nimwogope nani CHORUS Mi na Yesu tuuu*...

Thursday, November 20, 2014

Tuesday, November 18, 2014

IRINGA ALL STARS - R.I.P GEEZ MABOVU ( New Audio )


HUU NDIO WIMBO ULIOTENGENEZWA NA SAMPAMBA MUSIC - IRINGA CHINI YA PRODUCER MWASILE AKA SILEEY. NYIMBO HII IMETENGENEZWA NA WASANII WACHANGA TOKA IRINGA KAMA WAWAKILISHI WAWASANII WOTE WA IRINGA NA MIKOA YA NYANDA ZA JUU KUSINI KATIKA KUMUENZI MAREHEM GEEZ MABOVU BAADA YA KUTAMBUA MCHANGO WAKE KWA WASANII WACHA. NDANI ZIMEHUSIKA SAUTI ZA WASANII ZAIDI YA 13. UNGANA NASI HAPA KUUSIKILIZA WIMBO HUU.

picha za Location ya WITNESZ TZ - Chunga mdomo wako ( New video Comming soon )

hapa ni moja y location wakati tunarekodi video ya chunga mdomo wako, na ni video ya kwanza ya peke yangu kurekodi na wasichana tu[pu pia ni kati ya video queens walioo kwenye otchunes 20 video queens ambapo otchunes 20 ni kipindi cha tv kinchohusika na kutafuta na kuendeleza vipaji mbali mbali ikwemo ,muziki acting,video dancers,video queens wote wanapatikana wakihitajika hata sasa ambapo mara nyingi ilikua taabu sana kwangu mimi kupata wasichana ili washiriki nami kwenye music videos ila kwa sasa kwa kuwa ninao na ninawaandaa kmwenyewe ndo maana nimepata urahisi wa kuwatumia kwa mswali zaidi nicheki hewani 0717 757 75 82



DIAMOND AMPA SHAVU MEDA CLASSIC BAADA YA KUPATA BARUA YAKE ( Up Date Info )


SIKU CHACHE BAADA YA VIDEO YA MSANII MEDA WA IRINGA IITWAYO BARUA KWA DIAMOND KUINGIA MTAANI, HATIMAE BARUA HIO IMEWEZA MFIKIA DIAMOND NA KUMFANYA AYASEME HAYA KUPITIA UKURASA WAKWE WA Twitter na Instagram " Kiukweli simfahamu, sijawahi hata kumuona wala kuzungumza nae. Na sio kwasababu eti kaniimba mimi, Hapana! Ila ni serious na uzuri wa kazi alioifanya ndivyo vimenifanya nione ni vizuri kumleta hapa wadau ili kwa pamoja tumsupport naye kesho na keshokutwa afikie malengo ya kaziyake na kua balozi mzuri wa nchi yetu kupitia Bongo Flavour. Huyu hapa anaitwa MEDA kutoka IRINGA." HIVYO NDIVYO ALIVYO ANDIKA DIAMOND. HUENDA OMBI LA MEDA LIKAFANIKIWA KWENYE BARUA HIO, MIMI NAWEWE HATUJUI. Endelea Kutembelea Ukurasa wetu kwamaInfo na mastory Zaidi...

Monday, November 17, 2014

WALICHOKIFANYA EDDO BASHIRI NA DJ NAS MTIKISIKO MAKAMBAKO 2014 KWA MASHABIKI ( Up Date Info Video )


KAMA ULIMISI HUDHURIA SHOW YA MTIKISIKO MAKAMBAKO 2014, HIZI NDIZO KUFURU ZILIZOFANYWA KWA STAGE KATI YA EDDO BASHIRI,(MTANGAZAJI EBONY FM), NA DJ NAS, (DJ TOKA EBONY FM), DHIDI YA MASHABIKI WAO. NAN ALIFUNIKA? TIZAMA VIDEO HIO HAPO CHINI...

Sunday, November 16, 2014