Track Mpya Kabisa na Hatari toka kwa Jay Mutta ft Yaki itakayokwenda kwa jina la CHEMBA ZINAVUNJIKA. Tayari isha kamilika na Inazungumzia Ugumu wa maisha halisi ya Mtanzania kwa sasa, Beat Mpaka Mixing ikiwa imefanywa na Amba. Track Hii inategemea Ingia Mtaani Mapema Wiki Ijayo. Track Hii ina Beat Kali na Hasa Chorus Hataaari + Mashairi yaloenda Shule. Swali la kizushi, Unadhan kati ya Mutta na Yaki Nan atakua kamfunika mwenzie? Next weeck tutapata Jibu.
Monday, March 11, 2013
Saturday, March 9, 2013
J-Young the Young Producer
Posted by NAOMIKADUMA On 1:15:00 AM
J-Young the young Producer In Town On Location Mafinga.
Stay Tuned wakazi wa Mafinga na Nyanda Za Juu kusini kwa Ujumla.
Dr Tenya Brown on Location at Mafinga.
Posted by NAOMIKADUMA On 12:46:00 AM
the young Director Tenya Brown On Location Mafinga Mapema wiki hii. Unataka jua kichupa cha nani kilikua kinahusika hapo? Stay tuned....
Wednesday, March 6, 2013
Nas Wakitaa ft Steve Rnb - Haliahalisi
Posted by NAOMIKADUMA On 9:10:00 AM
Tuesday, February 26, 2013
Monday, February 18, 2013
NAS WAKITAA FT DACHI - KIZURI HAKIDUMU.
Posted by NAOMIKADUMA On 8:31:00 AM
https://docs.google.com/file/d/1DEPxZxUSn2Z55o_V8oK6DJ11ErGQ-ovlkUsAjhEOnp9mI98rt53WBrlCF8KE/edit?usp=sharing
Monday, February 11, 2013
NASHUKURU UMERUDI BY RECHO
Posted by NAOMIKADUMA On 10:29:00 PM
Thursday, February 7, 2013
Maisha halisi ya Selenga Kaduma.
Posted by NAOMIKADUMA On 9:01:00 AM
Hizi ni moja ya edditinga ambazo hua anafanya Selenga Kaduma Akiwa ametulia Magheton Kwake.
Vipi, Ingeweza faa kua Cover ya Album kama angekua Mwanamuziki?
Haya ndo Maisha halisi ya Selenga Kaduma, Na hapa Ni Magheton kwake. Hana Mke, Hana Hata Mtoto wa kusingiziwa. Anaishi Pekeake, na anaenjoy sana Ishi pekeake sikuzote. Anapika mwenyewe chakula chake coz anapenda sana pika, ana fanya usafi mwenyewe, na anapenda jichanganya na marafiki hasa kupitia mitandao ya kijamii.Hii Ni moja ya Sehem ndogo ya siri ya Maisha yake.
Vipi, Ingeweza faa kua Cover ya Album kama angekua Mwanamuziki?
Haya ndo Maisha halisi ya Selenga Kaduma, Na hapa Ni Magheton kwake. Hana Mke, Hana Hata Mtoto wa kusingiziwa. Anaishi Pekeake, na anaenjoy sana Ishi pekeake sikuzote. Anapika mwenyewe chakula chake coz anapenda sana pika, ana fanya usafi mwenyewe, na anapenda jichanganya na marafiki hasa kupitia mitandao ya kijamii.Hii Ni moja ya Sehem ndogo ya siri ya Maisha yake.
Tuesday, February 5, 2013
Lonka ft.Neybar-Muziki Na Maisha.
Posted by NAOMIKADUMA On 2:24:00 PM
Saturday, February 2, 2013
Friday, February 1, 2013
Thursday, January 31, 2013
Wednesday, January 30, 2013
Kitu kipya cha MED C kutoka Iringa Town kinaitwa najali
Posted by NAOMIKADUMA On 10:51:00 AM
Tuesday, January 29, 2013
Posted by NAOMIKADUMA On 1:37:00 AM
FURAHA MTITU amekamlisha albam yake ya kwanza
Posted by NAOMIKADUMA On 12:45:00 AM
HUYU NIMWIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI KUTOKA NYANDA ZA JUU KUSINI MKOA MPYA WA NJOMBE (LUDEWA) AMESHA MALIZA ALBAMU YAKE YA KWANZA YA AUDIO NA VIDEO INAYOITWA ''BWANA YESU NISAIDIE''.......Imekamilika na nyimbo nane kwa manunuzi ya jumla na rejareja wasiliana nasi kwa : 0754 885 077 AU 0712 695 805
wa utengenezaji wa video akiwa na director Tenya Brown wake nchini Malawi
Director Tenya Brown akiwa katika pozi tofauti nchini Malawi baada ya kumaliza video ya mwisho ya muimbaji
Furaha Mtitu,
Na hii ni moja ya video ya Mwimbaji Furaha Mtitu iliyo katika albam ya ''BWANA YESU NISAIDIE''
Friday, January 4, 2013
NEW YEAR WITH NEW THINGS
Posted by NAOMIKADUMA On 10:21:00 AM
WE ARE STILL UNDER CONSTRUCTION.
Subscribe to:
Posts (Atom)
















