KITAA SHOP |Bofya Picha Kutembelea Kitaa Shop

Sunday, December 13, 2015

NIMEKUSOGEZEA PICHA ZAIDI YA 28 ZA SHOW YA MTIKISIKO 12/12/2015 IRINGA

MAPEMA MCHANA WA TARE 12 WAKATI MAANDALIZI YA SHOW YAKIENDELEA NILIFANIKIWA FIKA NAKUSHUHUDIA KILICHOKUA KIKIENDELEA.
MOJA YA WANAMUZIKI WA IRINGA VIDY MWENYE SURUALI NYEKUNDU

ROMA AKIKIWASHA KWASTAGE




JUMA NARE NA RICH ONE WAKIKIWASHA JUKWAANI
DJ NAS AKIHOST SHOW TOKA EBONY FM


EDWIN BASHIRI MTANGAZAJI TOKA EBONY FM NA BALOZI WA TIGO NYANDA ZA JUU KUSINI ( Wadhamini wa Show

BAADHI YA RAIA WAKIBURUDIKA NA BURUDANI LIVE TOKA JUKWAANI




KUTOKA NYUMA YA JUKWAA MAPEMA WAKATI WA MAANDALIZI YA JUKWAA HILO



MWANAMUZIKI SKILLS TOKA KUSHOTO, STINO KATI ( Mshindi Waleo ) na FRESH ANDY TOKA KULIA


HII ILIKUA TEAM YA MWANAMUZIKI FRESH ANDY TOKA MAFINGA


CHRISS BEE OFFICIAL MTANGAZAJI WA BOMBA FM PIA TOKA MBEYA NA MWANAMUZIKI HAKUKOSEKANA

CHRISS BEE AKIWA NA MWANAMUZIKI PETRONIA WOTE WAKITOKEA MBEYA MPAKA IRINGA

HAPA NI ROMA BACK STAGE AKIWA KATIKA MAANDALIZI YAKUKWEA JUKWAANI

FRESH ANDY AKIWA NA DJ NAS BACK STAGE

FRESH ANDY AKIWA NA BALOZI  WA TIGO EDDWIN BASHIRI

NILIPATA NAFASI YA KUTOKELEZEA KATIKA PICHA MOJA NA BALOZI WA TIGO EDDO NA MWANAMUZIKI ANGE TAINER TOKA IRINGA

SIKUWEZA KUMKOSA IRINGA BOY AKA DJ NAS BACK  STAGE AKIWA NA ANGE TAINER.

FRESH ANDY PIA ALIPATA TIME YA KUTOKELEZEA NA MWANAMUZIKI NGULI  WA HIPHOP SUA SIDE..

TRBADOUR FT IBRAH - UZURI WA SURA ( New Audio )


Artist-Trubadour George Ft Ibrah Track- UZURI WA SURA Studio- Bantu Music Production Huu ni wimbo wa kwanza wa mapenzi kuuachia hewani kutoka kwangu tangu nianze kufanya muziki, wimbo huu nimeshirikiana na Ibrah, wimbo huu nimetoa maalum kwa mwanamke ninayempenda na pia ni dedication ya watu wapendanao. video ya wimbo huu itakuwa hewani tarehe 18/12/ 2015. video hii imetayarishwa na mecky kaloka kutoka ngome videos.

Barnaba x Mwasiti x The Voice - NJITI


Sasa unaweza kupakua na kusikiliza wimbo maalum wa NJITI (premature babies) uliowezeshwa na Doris Mollel Foundation. Njiti anaweza kuishi akipewa mazingira bora. Sambaza ujumbe huu kwa wengi tuwape faraja wazazi pamoja na Njiti wengi pia. "You can now download and listen special song done by preterm partner artists support the survival of premature new born in Tanzania, spread the word." - Doris

Thursday, December 10, 2015

NAFASI YAKO SASA YA KUIPATA ALBUM YA FRESH ANDY & TENYA BROWN "PAWAMBU"


KAMA ZAWADI YA MWISHO WA MWAKA, KWA WAPENZI WOTE WA MUZIKI ALBUMU YENYE NYIMBO ZA KISWAHILI MCHANGANYIKO NA NYIMBO ZA ASILI KATIKA MFUMO WA DVD, SASA IPO MTAANI RASMI TANGU MAPEMA MWANZONI MWA WIKI HII. UNAWEZA ITAFUTA SASA MTAANI KWA JINA LA "PAMBWAMBU" LIKIWA NA MAANA YA NG'AMBO TOKA LUGHA YAKIHEHE. UNAWEZA IPATA POPOTE ULIPO TANZANIA KUPITIA MAWASILIANO YALIOAINISHWA KWENYE KAVA HAPO JUU. INAUZWA KWA BEI ZA KITANZANIA TSH 3000/- TU.

WAKAZI KUINGIA KWENYE KINYANG'ANYIRO CHA BEST KORA BEST HIP HOP 2016


@Wakazimusic (Tanzania) has been nominated for the 2016 Kora Awards as "Best Hip Hop Act" alongside K.O (South Africa), Sarkodie (Ghana), Stanley Enow (Cameroon), Hamzaoui Med Amine (Tunisia) & Kiff No Beat (Cote D'voire). The Award Ceremony will take place in Windhoek, Namibia on March 20th 2016. Congratulation Broo

EWI - KUMBUSHO KWA RAISI ( New Audio )


Kupakua wimbo wa EWI (Environmental Warriors Of Ilboru) kwa jina "KUMBUSHO KWA RAIS" ikiwa ni HipHop category yenye sauti za wakali Bounako, Spac Dawg, Boox, Chindo pamoja na Gnako mkono toka kwa @defxtro @noizmekah Studios kwa mawasilano/mahojiano zaidi check na Mkurugenzi wa EWI Ayubu kwa nambari +255 785 435 435 Powered by @vmgafrica @mkitodotcom www.vmgafrica.com @defxtro #vmgafrica #SupportYourOwn

COMING SOON: BAADA YA BEST NASSO NAISHU YA MADAWA YA KULEVYA SASA AFUNGUKA YAHA HAPA


Baada Ya Kusemekana Best Nasso, Amekamatwa nchini Congo na Madawa Ya Kulevya. Hatimae amewadhihilishia mashabiki wake kua tuhuma hizo si za kweli,Na Ameachia bonge moja la wimbo. Wimbo uitwao "RUMBA" ni Audio Pamoja na Video,Amesema wimbo huo Utaanza Kupatikana kwenye mtandao wa Mkito.com kuanzia Jumamosi Tarehe 12 mwezi wa 12 ambayo ni siku yake Ya Kuzaliwa. Endelea kuungana nami hapa ili uwe wakwanza kuupata punde tuu utakapo achiwa rasmi.

Ram Life ft Makamua & B the Boss Man - NIPENDE KAMA NILIVYO ( New Audio )


Msanii wa hip hop "Ramlife" amekuletea ngoma hii mpya maskioni mwako ambayo ameitambulishwa rasmi kupitia www.eriqure.com , Wimbo unaitwa NIPENDE KAMA NILIVYO ulioandaliwa na Producer KAJU BEATS, Amewashirikisha "Makamua na B The Boss Man"

BELLE 9 - BURGER, MOVIE, SELFIE ( New Audio + Lyrics )


LYRICS VERSE 1 toka nimuone sura haipoteiiih nashindwa kubadili profile picha watsap/ najaribu kusubiri moyo haungojei/ for the first time I dedicate this track (huuuuuuh) njoo nikuoneshe nini unatakiwa upate mtoto mzuri mzuri kaama weeeh/ (huuuuuuh) the best couple in this world we na belledaily baby hold me tight/ PRE CHORUS burger movie selfie popcorn (anataka yeeh) burger movie selfie kiss and hug (anataka yeeeh) CHORUS (yeeeeeh) ameniweza (yeeeeeeeh) tunapendeza (yeeeeeeeeh) hoooh hoooo (yeeeeeeeeeeh) hoooh hhoooh oooh ooooh ooooh ooooh ameniweza ooh ooh oooh ooh tunapendeza oooh oooh oooh oooh (come again) VERSE 2 hajawahi kunifaanya niwe lonely/ hata kidogoooooh/ walokutenda uwe lonely/ wape kisogoooh (huu lalala) African queen you are my sunshine/ give me some more I want to fly/ African queen you are my sunshine/ give me some more ooh ooh oooh oooh ooh ooh/

Saturday, December 5, 2015

Sunday, November 29, 2015

ATTU MIVOKO - NITAMPATAJE ( New Audio )


BAADA YA UKIMYA WA TAKRIBANI MWAKA MMOJA SASA, HIT MAKER WA "DO YOU LOVE ME" NA MSHINDI WA SUPER DIVA NYOTA WA MKOA WA IRINGA MWAKA 2014, HATIMAE KAINGIA MTAANI NA SINGO YAKE MPYA IJULIKANAYO KAMA "NITAMPATAJE" ILIYOFANYWA NA PRODUCER MWENYE UMRI MDOGO ZAIDI NA MGENI KABISA KATIKA TASNIA YA MUSIC PRODUCTION "ICE TOUCH" CHINI YA STUDIO ZA CHRIS RECORDS MAFINGA - IRINGA. KUA WAKWANZA KUUSIKILIZA WIMBO HUU WENYE VIONJO VYA AINA YAKE KWA KUUDOWNLOD HAPA CHINI...

NAFASI YA PEKEE KWAWANAMUZIKI WA MIKOA YA NYANDA ZAJUU KUSINI.


KAMA TANGAZO LINAVYO JIELEZA HAPO JUU, HII NDIO NAFASI YAKO PEKEE YAKUWEZA TUMIA KIPAJI CHAKO CHA MUZIKI KATIKA KUTENGENEZA AJIRA TANZANIA. UKURASA WETU UKISHIRIKIANA NA K-STAR RECORDS, UTASIMAMIA MPANGO HUU KWA WASANII WATAKAO KIDHI VIGEZO VINAVYO HITAJIKA. KUMBUKA KUFWATA MAELEKEZO YATANGAZO LETU PALE UTUMAPO KAZI ZAKO, AMA SAUT KWAUJUMLA. HATUTA HITAJI MAELEZO YA MAHALA ULIPO FANYIA KAZI ZAKO AMA JINA LA KAZIZAKO. TUNACHO KIHITAJI SISI HASA NISAUTI YAKO TU, ILI KUWEZA FANIKISHA USAILI WETU. KAZI UTAKAZO TUTUMIA KAMA TANGAZO LIVYO ELEZA HAPO JUU ITAKUA KWAAJILI YA KUTUWEZESHA SISI KUKUFANYIA USAILI TU NA SI VINGINEVYO. AIDHA KUSHINDWA TEKELEZA MAAGIZO AMA MASHERT YA TANGAZO LETU, ITAKUA NIMOJA YAVIGEZO VITAKAVYO ANGALIWA KWENYE USAILI WAKUWATAFUTA WANAMUZIKI TUNAO WATAKA. MFANO, KUTO TUMA JINALAKO KAMILI, JINA LA JUKWAAANI,MAHALA ULIPO NA MAWASILIANO YAKO VINAWEZA KUKUPOTEZEA SIFA. WASHINDI WETU WANNE TUNAO WATAFUTA WATAJULISHWA MOJA KWA MOJA KUPITIA MAWASILIANO YAO WALIO TUTUMIA, NAPIA WATATANGAZWA KUPITIA UKURASA HUU MAPEMA WIKI IJAYO INAYOANZA NA TAREHE 7/12/2015. PROGRAM HII NISEHEMU NDOGO YA KUJITOLEA KATI YA K-STAR RECORDS NA UKURASA WETU WA www.selengakaduma.blogspot.com KATIKA KUIBUA, KUKUUZA, NAKUENDELEZA VIPAJI VYA WANAMUZIKI WANAOCHIPUKIA MIKOA YA NYANDA ZAJUU KUSINI YAANI IRINGA, MBEYA, NJOMBE,RUKWA NA RUVUMA. NB: IKUMBUKWE KUA USHIRIKI WAKO UTAKUA WA HIARI NA SI LAZIMA. KARIBUNI NYOTE.

Friday, November 27, 2015

NAY WAMITEGO - NYUMBANI KWETU ( New Audio )


Mkito.com inakuletea exclusive kutoka kwa Mr Nay Wamitego. Wimbo unaitwa NYUMBANI KWETU. Hizi ni ladha na style mpya ukiangalia muziki ambao tumezoea kumsikia Nay akiwa anafanya. Lakini kipaji kinamruhusu kufanya vitu vya tofauti na basi ni wajibu wake kisanaa kufanya vitu tofauti. Pakua hili pini hapa:

Tuesday, November 24, 2015

Pacha the Great & Somali-Senti Tano ( New Audio )


kupakua ngoma mpya ya @Pacha_the_Great akiwa na @official_Somalipricante, ngoma kwa jina "Senti Tano" mkono toka kwa @daznaledge (DabMusic) na kwa mahojiano/mawasiliano zaidi check nao kwa +255 719 300 204 powered by @vmgafrica @mkitodotcom www.vmgafrica.com @defxtro #vmgafrica #SupportYourOwn

AVITMUSIC - HESHIMA MAPENZI ( New Audio )


Kupakua wimbo wa @AvitMusic kwa jina "HESHIMA MAPENZI" ikiwa ni RnB category toka @nizmekah kwa @defxtro, kwa mawasilano/mahojiano zaidi check na AVITMUSIC kwa nambari +255 762 617 037 powered by @vmgafrica @mkitodotcom www.vmgafrica.com @defxtro #vmgafrica #SupportYourOwn