KITAA SHOP |Bofya Picha Kutembelea Kitaa Shop

Thursday, December 10, 2015

COMING SOON: BAADA YA BEST NASSO NAISHU YA MADAWA YA KULEVYA SASA AFUNGUKA YAHA HAPA


Baada Ya Kusemekana Best Nasso, Amekamatwa nchini Congo na Madawa Ya Kulevya. Hatimae amewadhihilishia mashabiki wake kua tuhuma hizo si za kweli,Na Ameachia bonge moja la wimbo. Wimbo uitwao "RUMBA" ni Audio Pamoja na Video,Amesema wimbo huo Utaanza Kupatikana kwenye mtandao wa Mkito.com kuanzia Jumamosi Tarehe 12 mwezi wa 12 ambayo ni siku yake Ya Kuzaliwa. Endelea kuungana nami hapa ili uwe wakwanza kuupata punde tuu utakapo achiwa rasmi.

0 comments:

Post a Comment