KITAA SHOP |Bofya Picha Kutembelea Kitaa Shop

Monday, August 4, 2014

TIZAMA PICHA ZAID YA 13 HAPA ZA UZINDUZI WA UMMOJA WA VIJANA IRINGA (UVI) - ULIO FANYIKIA MAFINGA IRINGA NA ZAIDI YA VIJANA 450 KATI YA 970 YA WANAUMOJA HUO TAREHE 03/08/2014 ( NEWZ )





SHUKRANI ZA DHATI ZIWAENDEE, 1)Mheshimiwa mgeni mkuu wa wilaya ya mufindi evarista kalalu. 2)Wageni waalikwa 3)Katibu wa ccm wilaya mufindi-miraj mtaturu 4)Afisa maendeleo ya vijana wilaya-juma fuluge 5)Mjumbe wa halmashauri kuu ccm-marcelina mkini 6)Kaimu meneja waa benki ya mucoba-eliter maalangalila 7)Mshauri wa umoja huu dr yahaya Msigwa 8)Eddo Bashiri Mwenyekiti wa ummoja wa vijana Iringa 9)Rashid Msigwa Katibu wa Umoja wa vijana Iringa 10)Wanachama wote zaid ya 970 wa umoja wavijana Iringa pamoja na walio fanikisha Mchakato huu. MUNGU IBARIKI AFRIKA, MUNGU IBARIKI TANZANIA NA MUNGU UBARIKI MKOA WETU WA IRINGA.

0 comments:

Post a Comment