wimbo mpya toka kwa Sampamba music akimshirikisha meda
umeandaliwa na producer silley katika studio za sampamba music
Tuesday, November 24, 2015
TRUBADOUR FT ONE INCREDIBLE - MAAMUZI ( New Audio )
Posted by NAOMIKADUMA On 8:30:00 PM
ARTIST-TRUBADOUR GEORGE FT ONE THE INCREDIBLE
TRACK-MAAMUZI
PRODUCERS- RAY TEKNOHAMA & NO FUTURE
STUDIO- BANTU MUSIC
LINK YA WIMBO KUTOKA MKITO.COM
Pacha the Great & Somali-Senti Tano ( New Audio )
Posted by NAOMIKADUMA On 8:12:00 PM
kupakua ngoma mpya ya @Pacha_the_Great akiwa na @official_Somalipricante, ngoma kwa jina "Senti Tano" mkono toka kwa @daznaledge (DabMusic) na kwa mahojiano/mawasiliano zaidi check nao kwa +255 719 300 204 powered by @vmgafrica @mkitodotcom www.vmgafrica.com @defxtro #vmgafrica #SupportYourOwn
SCATTER WA RYMES FT LABADABA - ALWAYS TO BE ( New Audio )
Posted by NAOMIKADUMA On 7:59:00 PM
scatter rhymes
Nyimbo inaitwa always to be faet labadaba
Produced by Ecko
Touchez.
ni mchanganyiko wa miziki tofauti miwili hiphop na dancehall
Contact zangu ni 0742451162
Best nasso_Cheza na hii ( New Video )
Posted by NAOMIKADUMA On 7:36:00 PM
GELLY WA RYMES - KONTENA ( New Audio )
Posted by NAOMIKADUMA On 7:25:00 PM
PETER MSECHU - MALAVA ( New Audio )
Posted by NAOMIKADUMA On 7:18:00 PM
AVITMUSIC - HESHIMA MAPENZI ( New Audio )
Posted by NAOMIKADUMA On 7:13:00 PM
Kupakua wimbo wa @AvitMusic kwa jina "HESHIMA MAPENZI" ikiwa ni RnB category toka @nizmekah kwa @defxtro, kwa mawasilano/mahojiano zaidi check na AVITMUSIC kwa nambari +255 762 617 037 powered by @vmgafrica @mkitodotcom www.vmgafrica.com @defxtro #vmgafrica #SupportYourOwn
Wednesday, November 18, 2015
Alikiba & Christian Bella - Nagharamia
Posted by NAOMIKADUMA On 9:20:00 PM
Mambo mazuri yamewadia! Ule uliokuwa ukiusubiri kwa hamu huu hapa - Nagharamia, Christian Bella & Alikiba
Link 👉🏾
Joh Makini Ft. AKA - Don't Bother ( Audio )
Posted by NAOMIKADUMA On 8:41:00 PM
Wimbo mpya uliokuwa ukisubiriwa kwa hamu kutoka kwa mkali hizi flow DON'T BOTHER sasa upo hewani!
Link >
KUTOKA KWA PRINCE:USHUHUDA WA JINSI YESU ALIVYOMTOKEA NA KUMPA UTUME NA KUMUAMURU AWE RASTA
Posted by NAOMIKADUMA On 8:25:00 PM
Ilikua ni siku ya Ijumaa Terehe 13/2/2015 Usiku nikiwa Daresalam Tanzania maeneo ya Sinza, chumbani kwangu usiku nikiwa nimemaliza maombi na ninasoma Neno la Mungu, ghafla Nguvu ya Mungu kubwa sana ilinishukia nikiwa nimefunga macho nakuanza kutetemeka maana nilidhani mwisho wa Dunia ndio umefika, Ghafla ilitokea Nuru kubwa sana zaidi ya mwanga wa jua ikawa inanimulika usoni na kukimulika chumba chote. Niliogopa sana nami nikaanza kujiona kua ni mwenye dhambi kuliko wenye dhambi wote Duniani pia nilijiona kwamba simjui Mungu hata kidogo yaaani elimu yote mafundisho yote ninayo yajua kuhusu Mungu niliyaona ni sifuri nawala hayalingani kwa vyovyote na jinsi ukuu wa Mungu ulivyo. Nuru ilizidi kuongezeka mara nikaona mwanga mwingine mkali sana katikati ya Nuru ile; Ndipo nikasikia sauti kutoka katika mwanga ule ikisema "Amos Amos Amos Usiogope, mimi ni Yesu na nimekutokea kukupatia utume na kazi kubwa utakayoifanya Duniani kote, Nimekutia mafuta uwe Nabii na wewe ni mnadhiri wa Mungu tangu tumboni mwa mama yako, Kwanzia leo wembe usipite kichwani mwako wala ndevuni mwako. Nakutuma uende kwa Ndugu zako Marasta (Rastafariansi) uwaambie kwamba kurudi kwangu kuwachukua watu wangu kumekaribia sana, nimekaribia sana kutoka katika chumba cha Patakatifu pa patakatifu pa mbinguni ninakofanya kazi ya Ukuhani na muda sio mrefu mlango wa Rehema utafungwa. Waambie waache kumwabudu Haile selassie kwani Yeye sio Mungu, yeye ni mwanadamu tu na alishakufa na anasubiri hukumu ya mwisho. Waambie wanigeukie mimi wapate Uzima wa milele. Kwanzia leo Amos nataka utoke kwenye mifumo yote (Systems) na uishi kama Nabii na Mnadhiri wa Mungu nami nitakua pamoja nawe popote uendapo. Pia utaacha vishungi (Dreadlocks) vya nywele za kichwa chako vikue viwe virefu maisha yako yote. Pia nakutuma uende kwa ndugu zako Watoto wanaoishi mitaani, ukawahubirie Neno langu waokoke. Dunia haitakuelewa, utapokea upizani mkubwa sana kutoka kwa ndugu zako wa Kristo na wale ninaokutuma kwao, lakini usiogope maana mimi ni pamoja nawe. Kwanzia leo nakupa Nguvu za Uponyaji na kutenda miujiza, utafanya Huduma za maombezi na watu wengi watafunguliwa. Viwete watatembea, Vipofu wataona, Wafu watafufuka kwa jina langu (Yesu) Je uko tayari?". Nikiwa nimejifunika kwa shati langu hapo chini huku nikilia na kutetemeka nilijibu niko tayari kwenda niko tayari kufanya kazi yako Bwana. Mara nilishukiwa na umeme mkali sana wa mbinguni Nguvu na Nuru ambayo sina lugha ya kuelezea. Lugha ya kibinadamu haitoshi kuelezea mambo makubwa Bwana aliyo nionyesha. Tangu siku hiyo maisha na mtazamo wangu vimebadilika kabisa. Naishi nakutembea na Nguvu kubwa sana za Mungu na nimekua katika maombi ya kufunga na Kukesha kwa muda mrefu sana. Mambo makubwa yanatendeka katika maisha yangu. Malaika wa Mbinguni wamekua wakinitokea mara kwa mara na kunitia moyo na Nguvu katika kazi hii ninayo ifanya. Yako mambo mengi aliyo nionyesha Yesu nami nitakua naya andika kidogo kidogo kwa kadiri Bwana atakavyokua akiniruhusu kufanya hivyo
By PRINCE AMOS MWANAMUZIKI WA MUZIKI WA INJILI TANZANIA
BARNABA FT JOSE CHAMILIONE - NAKUTUNZA ( New Audio )
Posted by NAOMIKADUMA On 7:47:00 PM
255 imekutana na 256 hivi karibuni na wameahidi kukutunza! Sikiliza wimbo mpya wa Barnaba na Jose Chameleone
Link >
HARMONIZE - KIDONDA CHANGU ( New Audio )
Posted by NAOMIKADUMA On 7:18:00 PM
Harmonize amekuwepo katika game kwa muda na kurekodi nyimbo kadhaa kabla hajanza kusikika kila kona. KIDONDA CHANGU ni wimbo aliyeurekodi kipindi cha nyuma kidogo lakini hukupata airplay ambao wimbo huu ulikuwa unastahili. Pakua wimbo hapa na ufurahie kipaji cha kijana huyu HARMONIZE.
Monday, November 2, 2015
KOKU FT BUSHOKE - NAKUWAZA ( New Video )
Posted by NAOMIKADUMA On 10:32:00 PM
NIMEKUSOGEZEA VIDEO MPYA KWAJINA NAKUWAZA YA MWANAMUZIKI KOKU AKIWA KAMSHIIRIKISHA BUSHOKE NDANI.
Song produced by Silas (Dreams records)
video directed by Nicklass (iMage Nation) in association with Preciuous Ent.
MUNTU MUNTU BBY - KISS ME ( New Audio )
Posted by NAOMIKADUMA On 10:06:00 PM
Msanii : MUNTU MUNTU BBY
Wimbo :KISS ME
Producer : BEATS BANK MUSIC
MAWASILIANO : 0715845421
0787119129
0753532877
MAN SHUJAA - TUFANYE KAZI ( New Audio )
Posted by NAOMIKADUMA On 9:59:00 PM
YAWCHRIS - WAWILI ( New Audio )
Posted by NAOMIKADUMA On 9:00:00 PM
Kupakua wimbo wa "YAW CHRIS" kwa jina "Wawili" ikiwa ni BongoFleva Category Beat toka Grandmaster na Vocals/Mixing pande za Noizmekah na kwa mahojiano/mawasilano zaidi check na Yaw Chris kwa Nambari +255 769 839 410 powered by @vmgafrica @mkitodotcom www.vmgafrica.com @defxtro #vmgafrica #SupportYourOwn
--
KUTANA NA ALBUM NZIMA YA CHELLA - RUDI MKOA ( Audio )
Posted by NAOMIKADUMA On 8:46:00 PM
NIMEKUSOGEZEA ALBUM YA AUDIO YA MWANAMUZIKI TOKA NJOMBE KWA JINA LA RUDI MKOA.
ARTIST-CHELLA(From Michano Lukuki crew)##ALBUM-RUDI MKOA#Contact +255764191674/+255673191674) Link https://mkito.com/artist-profile/chellamichano-lukuki/4761.##Y'support please.
RUMMY - KAZINGUA ( New Audio )
Posted by NAOMIKADUMA On 8:39:00 PM
Wimbo mpya kutoka kwa RUMMY uitwao KAZINGUA. Track hii imetayarishwa na Jobanjo ambaye ni producer anayezidi kusikika katika redio na internet kwa kazi zake mbali mbali.
Subscribe to:
Posts (Atom)



























