KITAA SHOP |Bofya Picha Kutembelea Kitaa Shop

Tuesday, December 9, 2014

TEL OMAINO - NIPENDE ( New Audio Coming soon )


Kutoka kipande cha Tunduru one,anaitwa Tel omaino,msanii wa bongo fleva yupo kwenye hatua za mwisho za kuachia ngoma yake mpya itakayoitwa 'nipende' ikiwa imefanyika studio za mkubwa music chini ya utayarishaji wa producer Necka beat. Soon Ujio wake utasomeka hapa hapa kwenye Ukurasa wetu. Anaomba support yako mdau na maoni, pale ikibidi.

0 comments:

Post a Comment