KITAA SHOP |Bofya Picha Kutembelea Kitaa Shop

Saturday, December 14, 2013

B ALONE ( Artist toka Njombe Mkali wa stage Nyanda za Juu Kusini, yaani Hakunaga 2013)

B ALONE MWANA MUZIKI TOKA MKOANI NJOMBE MWENYE CREW IJULIKANANAYO KAMA LUCK NUMBERS, CHINI YA DPM ENTERTAINMENT  KWA MUJIBU WA MASHABIKI NA CREW NZIMA YA BLOG HII HUYU NDIE MSANII BORA KWA KUMILIKI JUKWAA NA KUPIGA SHOW KALI. LICHA YA KUA ANA MADANSA PIA ANAJUA KUCHEZA NA KWENDA SAWA NA MADANSA...

EMMO DA PRO' FT MED C - NIPE KIDOGO ( Mwanamuziki Bora katika miondoko ya POP na Mbunifu Zaidi Nyanda za Juu kusini mwa Tanzania 2013)

EMMO DA PRO' NDIE MWANAMUZIKI BORA WA MWAKA 2013 KATIKA MIONDOKO YA POP, NA PIA NDIE MWANAMUZIKI MCHANGA PEKEE TOKA MIKOA YA NYANDA ZA JUU KUSINI ALIEWEZA ONEKANA ANAWEZA PAMBANA NA SOKO LAKIMATAIFA KWA UBUNIFU ZAIDI KATIKA KAZI ZAKE,NA KATIKA KUUTANGAZA MUSIC WA KIAFRIKA. HII IMEWEZA DHIHIRIKA...

Sunday, December 8, 2013

Friday, December 6, 2013

KEVOO HARD - Rip Paul Walker

HII NI KUTOKA KWA MSANII MCHANGA TOKA IRINGA TOWN AITWAE KEVOO HARD. SOMA NA SIKILIZA HAPA ALICHO KIZUNGUMZIA JUU YA KIFO CHA PAUL WALKER. Kama mdau mkubwa wa movie za Fast and the Furious na kama kioo cha jamii msiba wa Paul Walker umenigusa sana hadi kuchukua mda wangu kutoa haya maneno kwa wadau...