KITAA SHOP |Bofya Picha Kutembelea Kitaa Shop

Saturday, June 15, 2013

Sunday, June 9, 2013

Tuesday, May 7, 2013

MUGODA TRADITION BAND

Kama kawaida mzigo mwingine huo hapo kwa watoto wa nyanda za juu kusini wakitokea mafinga-IRINGA
wamesha achia nyimbo yao mupya inayoitwa MALAIKA inayo patikana kwenye Albam ya pamoja kati ya DOGO SCOPE NA TENYA BROWN inayoitwa PAMWAMBU.Mzigo wanguvu tayari umesha anzakufanya vyema kwenye vituo mbalimbali pamoja na kwenye mitandao mbalimbali. tafuta.. www.hulkshare.com/Malaika by Dogo Scope & Tenya Brown

I'm listening to Malaika.mp3 @Hulkshare:

Tuesday, April 16, 2013

Saturday, April 6, 2013

TANGAZO


Blog pekee Toka Nyanda za Juu Kusini Mwa Tanzania, Inayo Vumbua, Tangaza, na Sambaza vipaji mbalimbali Duniani kwote, kwa manufaa ya Msanii Moja kwa moja, na sio Bloger. Inafanya kazi masaa yote na Bure kwa Mwenye kipaji chechote, Bila Gharama yoyote toka kwa Msanii, Sharti likiwa ni moja tuu. Awe Mkazi wa Nyanda za Juu kusini, ama Mzawa, nikiwa namaana toka Mikoa ya Iringa, Mbeya, Njombe, Ruvuma, Na Rukwa, Lengo Likiwa ni Kuvumbua, Tangaza, Sambaza, Na Endeleza kazi za wasanii na vipaji vyao toka Mikoa ya Kusini Mwa Tanzania.
Jiskie Huru unapokua nasi wakati wooote.
Usiogope, Karibu (free of Charge)

contact us throgh; selengakaduma@gmail.com or 0653 36 30 05.
YOUR MOST WELCOME.

Sunday, March 31, 2013

Tuesday, March 12, 2013