Wednesday, January 29, 2014

KEVOO HARD ft STEVE WHITE - TUJIDAI

Kevoo Hard kashuka tena na mzigo mpya uitwao Tujidai, akiwa kamshirikisha Steve White. Anaomba suport yako mdau, kwa maoni ushauri na hata kurequest track yake hio kwa media mbalimbali punde itakapo tangazwa rasmi. Zaidi waweza ipata hapa track hio.

NAS WAKITAA FT CHIBWA - MONEY ON MA MIND

Anajulikana kama Nas Wakitaa, Huku jina lake halisi likiwa Nasibu Luvanda, Tokea Mafinga Iringa, Ingawa kwa sasa Husling anafanyia Dar, Amekuja na Traki Mpya Ijulikanayo kama MONEY ON MA MIND Ambayo kamshirikisha CHIBWA. Anaomba saana Support yako Mdau kama. Zaidi chungulia Track yake hapa.

FREGE ft JESHI LA WOKOVU - MKWANJA MEZANI

Frege Artist Toka Iringa Katua na Wimbo Mpya Uitwao MKWANJA MEZANI Akiwa kawashirikisha Jeshi La Wokovu. Track Hii Imefanyika Tabasamu Records, Chini ya MuntuMuntu. Maoni yako na support zaidi ndo vinahitajika toka kwako. Karibu.

OB (Maphiyonso) ft DenyoRasmi - HipHop RaDio.

HIPHOP RADIO Ni Ngoma mpya toka kwa OB Obama featuring Denyo Rasmi, Mkali wao, Wote toka Iringa.Unataka jua wamezungumzia Nini? Isikilize Hapa.

JOVIARY FT BENADO - USINIWEKEE HILA

Joviary ni Artist Anaetokea mbaye anakuja, kwa kasi zaidi kwenye gem na nyimboyake Iitwayo USINIWEKEE HILA Chini ya Tabasam Music. Amejaliwa kua na sauti nzuri, ni mwenye kipaji kuanzia utunzi mashairi mpaka Vocal. Mtaani kaanza na kazi hii kama kaziyake ya kwanza, Na mpaka leo ana kazi nyingine Mpya inayokuja, baada ya hii, Anaomba Saana Msaada wako, wa mawazo, Maoni, Ushauri na Ikiwezekana management. Week Hii Mwishon atakua Mafinga kufanya Video ya wimbowake mwengine Mpya Kwa Ofa Maalum Kutoka Alama Xp Video Production. Unataka Jua zaidi juu ya Artist Huyu Mpya Toka Mbeya? Uscose tembelea hapa mara kwa mara Kila kitu utakipata.